Urudishwe utaratibu wa Rais kuhutubia taifa, machafuko na maafa yasiyokuwa na majibu yanaongeza sana

nusu kaputi

Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
54
Reaction score
122
Tanzania kwa sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, masuala ya ubakaji, watu kufa au kuugua bila taarifa, Afya kuwa ovyo n.k

Nchii hi msemaji mkuu ni Rais, kwanini usirudi utaratibu Rais wa nchi kuhutubia taifa kila mwezi?

Hii italeta dira ya nchi na taswira nzima na huenda hata matukio yakapungua.
 
Hilo litasaidia je kupunguza umasikini?
 
Tumeshakuwa wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…