Urusi iligoma kutishiwa nyau na Ukraine ikaamua kumshambulia

Urusi iligoma kutishiwa nyau na Ukraine ikaamua kumshambulia

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Iko hivi, ili kumwogopesha urusi asiendelee kutumia makombora yake ya hypersonic missiles kushambulia sehemu nyeti za ukraine, wakaamua kuzua uongo kuwa Patriot air defense imedungua makombora sita ya "hypersonic missiles) ya urusi. Lengo ni kumtisha urusi asiendelee kuyatumia. Urusi ikaamua kumlenga huyo huyo Patriot air defense pale kiev. Halafu ikatangaza kuwa imeshaichakaza. Fasta Ukraine akakanusha.

Ukraine on Wednesday denied claims of Russia destroying a US-made Patriot missile defence system using its hypersonic missile during an air strike on Kyiv.

On Tuesday, the defence ministry of Russia made the assertion after carrying out an overnight air raid on the Ukrainian capital. Later, two US officials said that one Patriot defence system appeared to have suffered damage but it was not destroyed in the attacks.

"I want to say: do not worry about the fate of the Patriot," said Ukrainian air force spokesperson Yuriy Ihnat while speaking on Ukrainian television.

He further denied the possibility of Russia's "Kinzhal" missile destroying a Patriot system.

Marekani wakaona kuwa kukataa kabisa kuwa Patriot system haijashambuliwa na kuharibiwa kutapelekea Urusi kuonesha ushahidi wa video ni itakuwa ni aibu zaidi!! Wakaamua kukubali lakini kwa kudai kuwa "imeharibiwa tu lakini haijateketezwa, na inatengenezeka"

A US-made Patriot missile defence system being used by Ukrainian forces has likely suffered some damage from a Russian air attack but does not appear to have been destroyed, two United States officials told the Reuters news agency.

The reported damage to the US-donated missile defence system follows Russia’s Defence Ministry on Tuesday saying that a Russian hypersonic Kinzhal missile had destroyed a Patriot missile battery in Kyiv.

=========

Sasa wenye akili zao wanaweza kuunganisha hizo dots!! Kama Patriot ina uwezo wa kudungua hiyo kinzhal missile (hypersonic type), kama walivyodai kuzidungua sita, inawezekanaje sasa hiyo hypersonic missile moja tu kufanikiwa kuitoa kamasi hiyo patriot system na kukiri kwao wenyewe kuwa itatakiwa ifanyiwe matengenezo? Tangu hapo hatujawasikia tena wakidai kudungua hypersonic ya mrusi!!

Hata kwa akili ya kawaida tu, inawezekanaje mbweha amfukuze duma na kufanikiwa kumwangamiza? Duma ni mnyama mkali mwenye mbio sana!! Ukisikia kafukuzwa na kuangamizwa na mbweha na usijue kuwa hiyo ni fix ya mwaka utakuwa na matatizo!! Mwendo wa hypersonic missile ni zaidi ya mara tatu ya ule wa makombora ya ulinzi wa anga ya patriot!! Haiwezi kuingia akilini kuwa patriot itafanikiwa kuidungua patrioit. Ukizingatia kuwa hypersonic missile ina uwezo wa kufanya "maneuver" njiani hapo haiwezekani kabisa kuidungua!!
 
Iko hivi, ili kumwogopesha urusi asiendelee kutumia makombora yake ya hypersonic missiles kushambulia sehemu nyeti za ukraine, wakaamua kuzua uongo kuwa Patriot air defense imedungua makombora sita ya "hypersonic missiles) ya urusi. Lengo ni kumtisha urusi asiendelee kuyatumia. Urusi ikaamua kumlenga huyo huyo Patriot air defense pale kiev. Halafu ikatangaza kuwa imeshaichakaza!! Fasta Ukraine akakanusha!!

Ukraine on Wednesday denied claims of Russia destroying a US-made Patriot missile defence system using its hypersonic missile during an air strike on Kyiv.

On Tuesday, the defence ministry of Russia made the assertion after carrying out an overnight air raid on the Ukrainian capital. Later, two US officials said that one Patriot defence system appeared to have suffered damage but it was not destroyed in the attacks.

"I want to say: do not worry about the fate of the Patriot," said Ukrainian air force spokesperson Yuriy Ihnat while speaking on Ukrainian television.

He further denied the possibility of Russia's "Kinzhal" missile destroying a Patriot system.

Marekani wakaona kuwa kukataa kabisa kuwa Patriot system haijashambuliwa na kuharibiwa kutapelekea Urusi kuonesha ushahidi wa video ni itakuwa ni aibu zaidi!! Wakaamua kukubali lakini kwa kudai kuwa "imeharibiwa tu lakini haijateketezwa, na inatengenezeka"

A US-made Patriot missile defence system being used by Ukrainian forces has likely suffered some damage from a Russian air attack but does not appear to have been destroyed, two United States officials told the Reuters news agency.

The reported damage to the US-donated missile defence system follows Russia’s Defence Ministry on Tuesday saying that a Russian hypersonic Kinzhal missile had destroyed a Patriot missile battery in Kyiv.

Sasa wenye akili zao wanaweza kuunganisha hizo dots!! Kama Patriot ina uwezo wa kudungua hiyo kinzhal missile (hypersonic type), kama walivyodai kuzidungua sita, inawezekanaje sasa hiyo hypersonic missile moja tu kufanikiwa kuitoa kamasi hiyo patriot system na kukiri kwao wenyewe kuwa itatakiwa ifanyiwe matengenezo? Tangu hapo hatujawasikia tena wakidai kudungua hypersonic ya mrusi!!

Hata kwa akili ya kawaida tu, inawezekanaje mbweha amfukuze duma na kufanikiwa kumwangamiza? Duma ni mnyama mkali mwenye mbio sana!! Ukisikia kafukuzwa na kuangamizwa na mbweha na usijue kuwa hiyo ni fix ya mwaka utakuwa na matatizo!! Mwendo wa hypersonic missile ni zaidi ya mara tatu ya ule wa makombora ya ulinzi wa anga ya patriot!! Haiwezi kuingia akilini kuwa patriot itafanikiwa kuidungua patrioit. Ukizingatia kuwa hypersonic missile ina uwezo wa kufanya "maneuver" njiani hapo haiwezekani kabisa kuidungua!!
Mdomoni inawezekana ila ktk uhalisia hilo Jambo halipo.
 
Uhalisia wewe umeshawahi iona wapi? Zaidi ya story za mtandaoni tu na vijiweni.

Wabongo bwana😀😀
Mbona mifano tunayo mingi tu ya ku-prove a point kwamba 85% ya potential ya Patriot ni paper tiger tu.

Mfano wa kwanza, miaka kama mitatu/minne iliyopita Hyped Patriot ADS failed miserably to intercept (DIY) rockets za waasi wa Yemeni wakafanikiwa kukitia kiberiti kiwanda kikubwa cha Petrochemical industries huko Saudi Arabia.

Mfano wa pili: mwaka juzi airbases mbili za US huko Iraq zilitiwa kiberiti na roketis za Iran 12 na hakuna hata toketi moja iliyo wahi tunguliwa na Patriot ADS ambazo zilikuwa zinalinda US airbases 24X7 na batteries karibu nne za Patriot licha ya uluzi wote huo bado asubuhi moja roketi za Iran zote zilifanikiwa ku-hit designated targets with dead accuracy na kufanya uharibifu mkubwa na kuwajeruhi wanajeshi wengi licha ya kujificha ndani ya underground concrete bunkers - mbona USA ilikaa kimya bila ya kulipiza kisasi??

Bottom line is: Patriot Air Defense System is just another ADS kama nyingine zilivyo haina maajabu yoyote na hiii mekuwa proven time and time again kwamba sifa zake lukuki ni highly inflated by American omnipresent media - marketing gimmicks za MICs basi, uzuri ni kwamba vita hii ya Ukraine ndio imeonyesha weakness kubwa ya silaha za Merikani - wana sayansi wa Urusi ni mabingwa sana wa kubuni mbinu za ku-counter tishio la silaha za Merikani, mfano: HIMARS hazisikiki sana siku hizi baada ya Urusi kuzipatia dawa, haya sasa tuje kwenye Patriot ADS Dunia nzima imeshuhudia ilivyo tiwa kiberiti na Kinzhal lakini bado ma Gringos wanajitia uharibifu ulikuwa ni mdogo - whatever the case what counts hapa ni kwamba imeshambuliwa alright na ikashindwa kujilinda ikazidiwa kete na a Russian Kinzhal missile.
 
Mbona mifano tunayo mingi tu ya ku-prove a point kwamba 85% ya potential ya Patriot ni paper tiger tu.

Mfano wa kwanza, miaka kama mitatu/minne iliyopita Hyped Patriot ADS failed miserably to intercept (DIY) rockets za waasi wa Yemeni wakafanikiwa kukitia kiberiti kiwanda kikubwa cha Petrochemical industries huko Saudi Arabia.

Mfano wa pili: mwaka juzi airbases mbili za US huko Iraq zilitiwa kiberiti na roketis za Iran 12 na hakuna hata toketi moja iliyo wahi tunguliwa na Patriot ADS ambazo zilikuwa zinalinda US airbases 24X7 na batteries karibu nne za Patriot licha ya uluzi wote huo bado asubuhi moja roketi za Iran zote zilifanikiwa ku-hit designated targets with dead accuracy na kufanya uharibifu mkubwa na kuwajeruhi wanajeshi wengi licha ya kujificha ndani ya underground concrete bunkers - mbona USA ilikaa kimya bila ya kulipiza kisasi??

Bottom line is: Patriot Air Defense System is just another ADS kama nyingine zilivyo haina maajabu yoyote na hiii mekuwa proven time and time again kwamba sifa zake lukuki ni highly inflated by American omnipresent media - marketing gimmicks za MICs basi, uzuri ni kwamba vita hii ya Ukraine ndio imeonyesha weakness kubwa ya silaha za Merikani - wana sayansi wa Urusi ni mabingwa sana wa kubuni mbinu za ku-counter tishio la silaha za Merikani, mfano: HIMARS hazisikiki sana siku hizi baada ya Urusi kuzipatia dawa, haya sasa tuje kwenye Patriot ADS Dunia nzima imeshuhudia ilivyo tiwa kiberiti na Kinzhal lakini bado ma Gringos wanajitia uharibifu ulikuwa ni mdogo - whatever the case what counts hapa ni kwamba imeshambuliwa alright na ikashindwa kujilinda ikazidiwa kete na a Russian Kinzhal missile.

Drone zilisafiri mpaka zikatua Kremlin sijaona Ile mifumo yenu pendwa S-400 na S-500 ambayo inasifika kuona target mamia ya kilomita ikifanya kitu. Mbaya zaidi ni commercial drones zile za Alibaba. Juzi juzi hapa Moscow imeshambuliwa tena kwa drone,Yani siku hizi drone zinaingia tu Moscow na kutoka tena mbaya zaidi ni commercial drones.

Kinzal haijawahi kua hypersonic,ni air launched ballistic missiles kama zilivyo nyingine ila Putin akaamua kuongopea umma kama kawaida yake kudai ni Hypersonic,njia ya muongo ni fupi Patriot imekuja kumuumbua.

Himars juzijuzi imetia kiberiti Command Post ya S-400,ukadai eti ni S-400 ya Ukraine. Hivi Ukraine ilinunua S-400 lini?!

#Ukraine: A Russian 55K6A command post of the S-400 AD system was destroyed by the Ukrainian army in #Kherson Oblast - as claimed, using GMLRS.

It is the first recorded loss of this valuable asset and the second loss of the S-400 component - previously a launcher was destroyed.


Mwezi uliopita Pantsir air defence nayo ilitembelewa na Mr Himars

#Ukraine: A Russian Pantsir-S1 air defence system was destroyed in the South of #Donetsk Oblast earlier this month by a Ukrainian strike- as claimed, GMRLS (Fired from HIMARS/M270) were used.


Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom