JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Russia imefanya jaribio la kombora la nuclear, ambalo Rais wa Nchi hiyo, Vladmir Putin amesema kwamba litawafanya maadui wao kuacha kuwafikiria.
Jaribio hilo limefanyika miezi miwili tangu Russia ilipoivamia Ukraine.
Putin alionekana kwenye televisheni akiambiwa na wakuu wa jeshi kwamba kombora hilo la masafa marefu limefanyiwa majaribio kwa mara ya kwanza.
Jaribio limefanyika kutoka Plesetsk, Kaskazini Magharibi mwa Russia na limepiga malengo katika Penisula ya Kamchatka, umbali wa karibu kilomita 6,000.
Jaribio hilo la kombora hata hivyo halikushutua Nchi za Magharibi, lakini limefanyika wakati kuna mivutano mikubwa ya kisiasa.
Russia haijadhibithi mji wowote mkubwa wa Ukraine tangu ilipotuma maelfu ya wanajeshi wake Nchini Ukraine, Februari 24, 2022.
Source: Aljazeera
===
Sarmat: Russian missile will make enemies think twice, says Putin
Russia successfully tested the Sarmat intercontinental ballistic missile (ICBM) with President Vladimir Putin boasting the nuclear-capable projectile will make Moscow’s enemies “think twice”.
Putin was shown on television being told by the military the missile had been launched from Plesetsk in Russia’s northwest and hit targets in the Kamchatka peninsula in the far east on Wednesday.
“I congratulate you on the successful launch of the Sarmat intercontinental ballistic missile,” Putin told the army in televised remarks.
“This truly unique weapon will strengthen the combat potential of our armed forces, reliably ensure the security of Russia from external threats, and make those who – in the heat of aggressive rhetoric – try to threaten our country think twice.”
Jaribio hilo limefanyika miezi miwili tangu Russia ilipoivamia Ukraine.
Putin alionekana kwenye televisheni akiambiwa na wakuu wa jeshi kwamba kombora hilo la masafa marefu limefanyiwa majaribio kwa mara ya kwanza.
Jaribio limefanyika kutoka Plesetsk, Kaskazini Magharibi mwa Russia na limepiga malengo katika Penisula ya Kamchatka, umbali wa karibu kilomita 6,000.
Jaribio hilo la kombora hata hivyo halikushutua Nchi za Magharibi, lakini limefanyika wakati kuna mivutano mikubwa ya kisiasa.
Russia haijadhibithi mji wowote mkubwa wa Ukraine tangu ilipotuma maelfu ya wanajeshi wake Nchini Ukraine, Februari 24, 2022.
Source: Aljazeera
===
Sarmat: Russian missile will make enemies think twice, says Putin
Russia successfully tested the Sarmat intercontinental ballistic missile (ICBM) with President Vladimir Putin boasting the nuclear-capable projectile will make Moscow’s enemies “think twice”.
Putin was shown on television being told by the military the missile had been launched from Plesetsk in Russia’s northwest and hit targets in the Kamchatka peninsula in the far east on Wednesday.
“I congratulate you on the successful launch of the Sarmat intercontinental ballistic missile,” Putin told the army in televised remarks.
“This truly unique weapon will strengthen the combat potential of our armed forces, reliably ensure the security of Russia from external threats, and make those who – in the heat of aggressive rhetoric – try to threaten our country think twice.”