Urusi inatisha. Mpaka sasa Ukraine na NATO wanapigana na kampuni binafsi ya Kijeshi bado Urusi haijaingia vitani

Urusi inatisha. Mpaka sasa Ukraine na NATO wanapigana na kampuni binafsi ya Kijeshi bado Urusi haijaingia vitani

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Katika kile kinachoonekana ni ukomavu na uwezo mkubwa Kijeshi wa Shirikisho la Russia imepelekea mataifa ya magharibi kuunda shirika la kujihami (NATO) dhidi ya Russia na mataifa mengine yenye nguvu kubwa kama China.

Kutokana na sera za Russia kutokuingilia siasa za mataifa mengine West kwa muda mrefu wamekua wakileta chokochoko dhidi ya Russia lakini Russia imekua ikitoa ilani bila kuchukua hatua yoyote ikiwa pamoja na makubaliano ya NATO kutojipenyeza karibu na mipaka ya Russia lakini West walivunja makubaliano hayo na kufikia hatua ya kuanza kuweka military base Poland karibu na Urusi.

Pia ikaanza kujipenyeza Ukraine na wakati kulikua na makubaliano kati ya Russia na Ukraine kutokaribisha West ndani ya mipaka yake lakini Comedian Zelensk alikiuka mikataba na kuwakaribisha West ndani ya ardhi yake na kuanza kuwauwa raia wenye asili ya Russia toka 2014 hadi sasa ambapo Russia iliamua kuwasaidia nakuivunja vunja Ukraine Kijeshi lengo limefanikiwa kwa 100% kwani Ukraine anategemea msaada wa kila kitu kuanzia chupi mpaka silaha toka kwa wakoloni wao West.

Kinachoogopesha zaidi kwaa muda wote huo Ukraine pamoja na NATO wanapigana na kampuni ya Kijeshi ya Russia Wagner Group na Russia bado hajaingia full scale, level ya Russia ni kupigana West yote na kuigeuza majivu ndani ya muda mfupi.

Sasa kama NATO wanatolewa kamasi na Wagner Group, Marekani akiingia vitani na Russia utakua ndio mwisho wake kaamua kukimbiza mbawa zake anaishia kutuma magobole na bado Wagner Group wanayabutua na kukamata Maeneo..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni kweli kabisa, USA hawezi kabisa hata kuota kuijaribu kuingia Vitani na Mbabe Russia, maana Watapata hasara kubwa sana, Kuna baadhi ya Miji Marekani SQM MOJA INA WATU WAWILI, KAMA VILE PALE MTAA WA KONGO KARIAKOO. WAKIANGUSHA KOMBORA HAPO LA SQKM 800. Takribani Watu 800,000 wanapotea na viumbe vyote vilivyomo humo. RS 28 SARMAT. KOMBORA HILO MOJA NI VICHWA 28, KWAMBA WAKIPIGA KAGERA UHARIBIFU WAKE, KENYA, UGANDA, RWANDA , BURUNDI, SAMAKI WOTE TANGANYIKA NA VICTORIA NA LABDA MPAKA MOROGORO. HIYO NI SABABU KWANINI HAKUNA TAIFA KATI YA URUSI, USA, CHINA LAWEZA VAMIA LINGINE.
TAIFA KAMA UINGEREZA , UFARANSA, NI BOMU MOJA TU. MI BOMU PEKEE HATARI DUNIANI NA LIMEBORESHWA KUWA RS 36. TUSIOMBE VITA WAPENDWA,
 
Katika kile kinachoonekana ni ukomavu na uwezo mkubwa Kijeshi wa Shirikisho la Russia imepelekea mataifa ya magharibi kuunda shirika la kujihami (NATO) dhidi ya Russia na mataifa mengine yenye nguvu kubwa kama China.

Kutokana na sera za Russia kutokuingilia siasa za mataifa mengine West kwa muda mrefu wamekua wakileta chokochoko dhidi ya Russia lakini Russia imekua ikitoa ilani bila kuchukua hatua yoyote ikiwa pamoja na makubaliano ya NATO kutojipenyeza karibu na mipaka ya Russia lakini West walivunja makubaliano hayo na kufikia hatua ya kuanza kuweka military base Poland karibu na Urusi.

Pia ikaanza kujipenyeza Ukraine na wakati kulikua na makubaliano kati ya Russia na Ukraine kutokaribisha West ndani ya mipaka yake lakini Comedian Zelensk alikiuka mikataba na kuwakaribisha West ndani ya ardhi yake na kuanza kuwauwa raia wenye asili ya Russia toka 2014 hadi sasa ambapo Russia iliamua kuwasaidia nakuivunja vunja Ukraine Kijeshi lengo limefanikiwa kwa 100% kwani Ukraine anategemea msaada wa kila kitu kuanzia chupi mpaka silaha toka kwa wakoloni wao West.

Kinachoogopesha zaidi kwaa muda wote huo Ukraine pamoja na NATO wanapigana na kampuni ya Kijeshi ya Russia Wagner Group na Russia bado hajaingia full scale, level ya Russia ni kupigana West yote na kuigeuza majivu ndani ya muda mfupi.

Sasa kama NATO wanatolewa kamasi na Wagner Group, Marekani akiingia vitani na Russia utakua ndio mwisho wake kaamua kukimbiza mbawa zake anaishia kutuma magobole na bado Wagner Group wanayabutua na kukamata Maeneo..

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hivi murusi anaogopa nini kuwatandika Nato na Us Ambao wanamsaidia Ukreine??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajaribu Aone kwa nini nguruwe hatagi [emoji56][emoji27]
 
Hivi murusi anaogopa nini kuwatandika Nato na Us Ambao wanamsaidia Ukreine??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajaribu Aone kwa nini nguruwe hatagi [emoji56][emoji27]
Awapigie nini wakati wanaangamizwa na Kampuni binafsi? Urusi hataki vita ikwishe haraka sababu Urusi, China, North Korea, Iran wana lao Jambo. Ndio maana unaona Kiduki akirusha drones kwa jirani yake juu ya Jiji wanaziona ila hawana uwezo wa kuzidungua. Wameachana na Kinga za anga za Marekani, wanakwenda Sasa Israel.
 
Kinachoogopesha zaidi kwaa muda wote huo Ukraine pamoja na NATO wanapigana na kampuni ya Kijeshi ya Russia Wagner Group na Russia bado hajaingia full scale, level ya Russia ni kupigana West yote na kuigeuza majivu ndani ya muda mfupi.
Ni kweli kabisa, ndio maana hajafanya 'mobilisation' mpaka Sasa.
 
Hivi murusi anaogopa nini kuwatandika Nato na Us Ambao wanamsaidia Ukreine??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajaribu Aone kwa nini nguruwe hatagi [emoji56][emoji27]
Russia anatumia busara kubwa huku akishauriana na washirika wake wema vinginevyo NATO wajaribu kuvuka boda waone kitakacho tokea ndio watajua kwanini Warusi wanajiamini na hawatetereki na hawamwogopi yeyote duaniani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom