Urusi ingejifunza yaliyomkuta Marekani, yote haya yasingetokea

Urusi ingejifunza yaliyomkuta Marekani, yote haya yasingetokea

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Marekani ikiwa chini ya utawala wa bushi ilipanga kuzipindua serikali 3 kwa wakati mfupi ,huku ikijiamini na silaha nyingi , washirika wengi, akajua kabisa angeipiga Iran, Iraq, na North Korea kwa wakati mmoja, kilichomkuta aliishia kumpiga Iraq tena kwa tabu sana akiwa na washirika wake wengi, baada ya kumpiga Marekani ilifulia sana kiuchumi, yaani iliyumba sana tena sana na licha ya kuwa na uchumi mkubwa na washirika wengi.

Sasa Putin kwa uchumi wake ambao hata haufikii jimbo la Washington, yatakayomkuta sijui, yangu macho, hana washirika, hana uchumi mkubwa, vikwazo amebebeshwa, ni jambo la muda tu maana nimeona juzi wameanza kupitisha bakuli la kuchangia hii operation kwa makampuni yote na siyo ombi ni lazima uchangie.
 
Sasa ajifunze uoga ama ufedhuri? USA alivamia nchi za kiarabu kwa ufedhuri, Russia anashusha kisago kumuadabisha mdogo wake fedhuri, ulitaka amuige fedhuli ili amchekee mdogo ake fedhuli wote wawe mafedhuli?
Naona mwaweweseka na ni dalili ya dawa kuwaingia.......................PUT-IN shikilia hapo hapooo🙂🙂🙂
 
Marekani ikiwa chini ya utawala wa bushi ilipanga kuzipindua serikali 3 kwa wakati mfupi ,huku ikijiamini na silaha nyingi , washirika wengi, akajua kabisa angeipiga Iran, Iraq, na North Korea kwa wakati mmoja, kilichomkuta aliishia kumpiga Iraq tena kwa tabu sana akiwa na washirika wake wengi, baada ya kumpiga Marekani ilifulia sana kiuchumi, yaani iliyumba sana tena sana na licha ya kuwa na uchumi mkubwa na washirika wengi.

Sasa Putin kwa uchumi wake ambao hata haufikii jimbo la Washington, yatakayomkuta sijui, yangu macho, hana washirika, hana uchumi mkubwa, vikwazo amebebeshwa, ni jambo la muda tu maana nimeona juzi wameanza kupitisha bakuli la kuchangia hii operation kwa makampuni yote na siyo ombi ni lazima uchangie.
Urusi huyu ni mpuuzi anajua kuwa huwezi shinda vita Kwa kuvamia na kutaka kutawala watu kiboya Yeye mwenyewe alipata lesson Kule Afghanistan alipopata kipondo kikali na kuondoka Kwa aibu kipindi kile cha Mujahedeens Ila anajitoa Tu akili
 
Marekani ikiwa chini ya utawala wa bushi ilipanga kuzipindua serikali 3 kwa wakati mfupi ,huku ikijiamini na silaha nyingi , washirika wengi, akajua kabisa angeipiga Iran, Iraq, na North Korea kwa wakati mmoja, kilichomkuta aliishia kumpiga Iraq tena kwa tabu sana akiwa na washirika wake wengi, baada ya kumpiga Marekani ilifulia sana kiuchumi, yaani iliyumba sana tena sana na licha ya kuwa na uchumi mkubwa na washirika wengi.

Sasa Putin kwa uchumi wake ambao hata haufikii jimbo la Washington, yatakayomkuta sijui, yangu macho, hana washirika, hana uchumi mkubwa, vikwazo amebebeshwa, ni jambo la muda tu maana nimeona juzi wameanza kupitisha bakuli la kuchangia hii operation kwa makampuni yote na siyo ombi ni lazima uchangie.
Hivi mnavyosemaga urusi haizidi uchumi Jimbo la Washington sijui Texas kwa maana ipi?.....yani mnamaanisha Hilo Jimbo pekee mapato yake yanaweza kuendesha urusi au kufanya yanafanywa na urusi.?

Sifahamu Mambo ya uchumi ,nipeni clarification hapo
 
Marekani ikiwa chini ya utawala wa bushi ilipanga kuzipindua serikali 3 kwa wakati mfupi ,huku ikijiamini na silaha nyingi , washirika wengi, akajua kabisa angeipiga Iran, Iraq, na North Korea kwa wakati mmoja, kilichomkuta aliishia kumpiga Iraq tena kwa tabu sana akiwa na washirika wake wengi, baada ya kumpiga Marekani ilifulia sana kiuchumi, yaani iliyumba sana tena sana na licha ya kuwa na uchumi mkubwa na washirika wengi.

Sasa Putin kwa uchumi wake ambao hata haufikii jimbo la Washington, yatakayomkuta sijui, yangu macho, hana washirika, hana uchumi mkubwa, vikwazo amebebeshwa, ni jambo la muda tu maana nimeona juzi wameanza kupitisha bakuli la kuchangia hii operation kwa makampuni yote na siyo ombi ni lazima uchangie.
Aangekuwa kilaza kama Marekani yangemfika ya kumfika ila Urusi wanafanya biashara za uhakika sio ubabaishaji kama USA. Game ya mafuta na Gas kaishikilia yeye utamwambia nini? Nioneshe kiwanda cha Marekani ambacho hakitegemei wese na gas kujiendesha 😂😂😂!!!

Mean time mrusi kashikilia mpini na tayari wananunua wese kwa bei juu kuliko ilivyokuwa awali! Chezea wote usichezee mtu mwenye akili kama mrusi
 
Back
Top Bottom