Boli linatembea
Member
- Dec 21, 2022
- 66
- 167
Habari Wandugu,
Mbona sioni mada yoyote jinsi Urussi alivyochakazwa na ukraine juzi? 24 Nov 24? Nasikia mpk machuma sijui S400 chakazwa vibaya, kambi ya jesh na top leader wanne wame R.I.P sa hiv wanaenda kupatana na Talebani aaah kweli vita ni mbaya unaweza kula hata Mavi.
Go home Rusia.........inatosha sasa
Mbona sioni mada yoyote jinsi Urussi alivyochakazwa na ukraine juzi? 24 Nov 24? Nasikia mpk machuma sijui S400 chakazwa vibaya, kambi ya jesh na top leader wanne wame R.I.P sa hiv wanaenda kupatana na Talebani aaah kweli vita ni mbaya unaweza kula hata Mavi.
Go home Rusia.........inatosha sasa