Mr.Black
Member
- Jun 9, 2014
- 97
- 74
Habari wa jf katika hali inayoonesha kuwa Raisi wa urusi kwa sasa anahakikisha kurudisha heshima na nguvu ya Urusi ulimwenguni , siku za karibuni ameendeleza mazoezi makali ya kijeshi nchini humo
Uraisi wa urusi Vladimir Putin ametoa amri kwa jeshi la urusi mazoezi makali ambapo kundi kubwa la jeshi la taifa hilo kubwa duniani limefanya mazoezi ma mpakani mwa Taifa hilo hasa maeneo ya kusini , magharibi mwa taifa hilo .
Raisi ametoa amri kujibu mapigo kutoka mataifa ya magharibi , ambapo vikosi vya jeshi la NATO wakifanya mazoezi makubwa eneo la Balkan yakijumuisha vikosi vya majeshi zaidi ya 2,000 kutoka mataifa 14 vimefanya mazoezi hayo mazito kijeshi mpakani mwa Urusi . pia kwa upande mwingine majeshi hayo yamekuwa yanatuma vifaa vya kijeshi kwenda nchi ya Georgia iliyovamiwa na Urusi mwaka 2008
kwa mujibu wa Dr Konstantin Sikov amesema kuongezeka kwa mafunzo makali ya kijeshi kwa kipindi cha miaka 3 ni kutokana na kuongezeka kwa hali ya wasi wasi dunian hasa katika majeshi na hivyo wao kama viongozi wa wana wajibu wa kuchukua hatua kuweza kukabiliana na hali hiyo , akitolea mfano uturuki kuingia vitani nchini syria na muda huo huo marekani wakiunda makundi mipakani mwa Taifa hilo .
Sergei Shoigu ambaye amekuwa waziri wa ulinzi wa Urusi tokea 2012 amehamasisha idara ya mambo ya kivita ya urusi kurudisha mfumo wa kufanya ukaguzi wa kushitukiza katika jeshi la urusi ili kuweza kujua kama jeshi hilo linakuwa tayari kwa vita muda wowote ikitokea
kwa kipindi cha zaidi ya miaka 3 Jeshi la urusi wamefanya mazoezi ya kijeshi mara 20 , pia kwa mujibu wa Raisi wa Academy ya Geopolitical Problems anasema mazoezi ya kijeshi ambayo Raisi putin ameanzisha ni mazoezi ambayo ni ya kiwango cha juu na hayajawahi kutokea
pia colonel Leonid Ivashov amesema kuwa ana uhakika kuwa mazoezi hayo ni makubwa na kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu , wajibu wa vikosi vya majeshi ya Taifa limebadilika haraka kwa sababu ya kuongezeka hatari za kiusalama dhidi ya taifa lao ambazo hatari hizo zinaweza kukwamisha na jeshi na vyombo vingine vya kiusalama vya taifa hilo
Ameongeza kuwa hata Raisi Putin anaenda vikosi vya jeshi la taifa hilo ni kutokana na matendo ya Mataifa ya Magharibi kuweka dunia hali ya ukorofi wa kivita kutokana na matendo ya mataifa hayo yanayoendelea kufanywa hasa katika mipaka ya taifa hilo na wao wana wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama wa taifa hilo.
Uraisi wa urusi Vladimir Putin ametoa amri kwa jeshi la urusi mazoezi makali ambapo kundi kubwa la jeshi la taifa hilo kubwa duniani limefanya mazoezi ma mpakani mwa Taifa hilo hasa maeneo ya kusini , magharibi mwa taifa hilo .
Raisi ametoa amri kujibu mapigo kutoka mataifa ya magharibi , ambapo vikosi vya jeshi la NATO wakifanya mazoezi makubwa eneo la Balkan yakijumuisha vikosi vya majeshi zaidi ya 2,000 kutoka mataifa 14 vimefanya mazoezi hayo mazito kijeshi mpakani mwa Urusi . pia kwa upande mwingine majeshi hayo yamekuwa yanatuma vifaa vya kijeshi kwenda nchi ya Georgia iliyovamiwa na Urusi mwaka 2008
kwa mujibu wa Dr Konstantin Sikov amesema kuongezeka kwa mafunzo makali ya kijeshi kwa kipindi cha miaka 3 ni kutokana na kuongezeka kwa hali ya wasi wasi dunian hasa katika majeshi na hivyo wao kama viongozi wa wana wajibu wa kuchukua hatua kuweza kukabiliana na hali hiyo , akitolea mfano uturuki kuingia vitani nchini syria na muda huo huo marekani wakiunda makundi mipakani mwa Taifa hilo .
Sergei Shoigu ambaye amekuwa waziri wa ulinzi wa Urusi tokea 2012 amehamasisha idara ya mambo ya kivita ya urusi kurudisha mfumo wa kufanya ukaguzi wa kushitukiza katika jeshi la urusi ili kuweza kujua kama jeshi hilo linakuwa tayari kwa vita muda wowote ikitokea
kwa kipindi cha zaidi ya miaka 3 Jeshi la urusi wamefanya mazoezi ya kijeshi mara 20 , pia kwa mujibu wa Raisi wa Academy ya Geopolitical Problems anasema mazoezi ya kijeshi ambayo Raisi putin ameanzisha ni mazoezi ambayo ni ya kiwango cha juu na hayajawahi kutokea
pia colonel Leonid Ivashov amesema kuwa ana uhakika kuwa mazoezi hayo ni makubwa na kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu , wajibu wa vikosi vya majeshi ya Taifa limebadilika haraka kwa sababu ya kuongezeka hatari za kiusalama dhidi ya taifa lao ambazo hatari hizo zinaweza kukwamisha na jeshi na vyombo vingine vya kiusalama vya taifa hilo
Ameongeza kuwa hata Raisi Putin anaenda vikosi vya jeshi la taifa hilo ni kutokana na matendo ya Mataifa ya Magharibi kuweka dunia hali ya ukorofi wa kivita kutokana na matendo ya mataifa hayo yanayoendelea kufanywa hasa katika mipaka ya taifa hilo na wao wana wajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama wa taifa hilo.
Attachments
-
Vladimir-Putin-Russia-war-704067.jpg29 KB · Views: 180 -
155962.jpg71 KB · Views: 121 -
155963.jpg58.7 KB · Views: 113 -
155967.jpg68.4 KB · Views: 122 -
155969.jpg74.9 KB · Views: 119 -
155971.jpg62 KB · Views: 136 -
155972.jpg47.8 KB · Views: 113 -
155973.jpg64.6 KB · Views: 115 -
155974.jpg34.5 KB · Views: 108 -
155975.jpg35 KB · Views: 138 -
155976.jpg70.1 KB · Views: 115 -
155977.jpg67.7 KB · Views: 108 -
155978.jpg70.8 KB · Views: 119 -
155979.jpg36.2 KB · Views: 112 -
155980.jpg31.3 KB · Views: 110 -
175817.jpg46.7 KB · Views: 110 -
175818.jpg33.2 KB · Views: 131 -
175819.jpg82.4 KB · Views: 111 -
175820.jpg89 KB · Views: 111 -
175821.jpg51.4 KB · Views: 328