beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Taifa hilo limewataka Wanadiplomasia 31 kutoka Nchi Tatu kuondoka siku kadhaa zijazo. Wizara ya Mambo ya Nje imeagiza Wanadiplomasia 15 wa Uholanzi kuondoka ndani ya siku 14
Agizo hilo pia limetolewa kwa Watumishi wa Ubalozi wa Ubelgiji baada ya Nchi hiyo kuwafukuza Wanadiplomasia 21 wa Urusi Mwezi Machi. Aidha, Wanadiplomasia wanne wa Austria nao wamepewa hadi Jumapili ili kuondoka
Uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine umeathiri uhusiano wake na Mataifa mbalimbali
=======
Russia has said it was expelling 31 diplomats from three European countries in a tit-for-tat move
The Russian foreign ministry declared 15 diplomats from the Netherlands “persona non grata” and gave them two weeks to leave. Moscow gave the same deadline to Belgian embassy staff over the country’s decision to expel 21 Russian envoys last month
Belgium’s foreign ministry told the AFP news agency that the measure pinpointed 12 diplomats. Moscow also gave four Austrian diplomats until Sunday to leave
Source: Al Jazeera
Agizo hilo pia limetolewa kwa Watumishi wa Ubalozi wa Ubelgiji baada ya Nchi hiyo kuwafukuza Wanadiplomasia 21 wa Urusi Mwezi Machi. Aidha, Wanadiplomasia wanne wa Austria nao wamepewa hadi Jumapili ili kuondoka
Uvamizi wa Urusi Nchini Ukraine umeathiri uhusiano wake na Mataifa mbalimbali
=======
Russia has said it was expelling 31 diplomats from three European countries in a tit-for-tat move
The Russian foreign ministry declared 15 diplomats from the Netherlands “persona non grata” and gave them two weeks to leave. Moscow gave the same deadline to Belgian embassy staff over the country’s decision to expel 21 Russian envoys last month
Belgium’s foreign ministry told the AFP news agency that the measure pinpointed 12 diplomats. Moscow also gave four Austrian diplomats until Sunday to leave
Source: Al Jazeera