Urusi yawaomba wanajeshi wa akiba waliostaafu wajitokeze maana hali ngumu

Urusi yawaomba wanajeshi wa akiba waliostaafu wajitokeze maana hali ngumu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Urusi imefikia hatua za kuomba usaidizi wa wastaafu maana hali imekua balaa, Ukraine japo kataifa kadogo lakini kamehimili na kupangua mapigo yote, na kama kawaida kwa vita vya muda mrefu huhitaji wanajeshi wapumzishwe ili wengine waje kwenye mapambano, sasa imekua vigumu kuwarejesha nyumbani waliopo, ambao wamejichokea mbaya mno, wengi wanaumwa na kukabiliwa na njaa....


e95f0da-zapas-armiya-rf--1--original.jpg
 
Umeeleweka mmarekani mweusi kutoka Tandale, vp sasa na hao Ukraine hawahitajiki wanajeshi wa akiba waliostaafu?
 
Umeeleweka mmarekani mweusi kutoka Tandale, vp sasa na hao Ukraine hawahitajiki wanajeshi wa akiba waliostaafu?

Hao wako kwenye nchi yao, wanahitaji kila mmoja anayeipenda bendera ya nchi yake ajitokeze kutembeza kichapo dhidi ya wavamizi.....wako tayari kupigana hadi vijiwe vya kahawa, vichochoro vyote.
Putin alibugi sana kwenye hii aliyoita operesheni ya siku chache, imemtokea puani sasa anageuza eti ameshatimiza alichotaka, wanajeshi wake wanageuza huku wakifuatwa huko huko......ha ha ha!!!
 
Naona leo ni siku yenu.. basi mnajinafasi [emoji1][emoji1]
 
Haha mnafufua hadi thread za miaka ya 70 ....kweli hali ngumu
 
Mimi nashangaa, wanasema nchi ya Russia eti ina wanajeshi sijui laki nane na walioenda kuvamia Ukraine ni kama laki mbili hivi halafu tunasikia tena kuna wale conscripts (ambao wengine wameshatoroka na kurejea nyumbani), sasa inakuwaje tena wanaomba msaada mara Syria mara Belarus??

Hili jeshi la Russia inaonekana sio ile tuliokuwa tukiadithiwa maanake wamezidiwa kiasi kwamba sasa hivi hata raia kwao ni shabaha halali na miundombinu vile vile hadi wengine wanafikia hatua ya kuuza vifaru na kuomba kupewa uraia nchini Ukraine.

It's mind boggling affair.
 
Mimi nashangaa, wanasema nchi ya Russia eti ina wanajeshi sijui laki nane na walioenda kuvamia Ukraine ni kama laki mbili hivi halafu tunasikia tena kuna wale conscripts (ambao wengine wameshatoroka na kurejea nyumbani), sasa inakuwaje tena wanaomba msaada mara Syria mara Belarus??

Hili jeshi la Russia inaonekana sio ile tuliokuwa tukiadithiwa maanake wamezidiwa kiasi kwamba sasa hivi hata raia kwao ni shabaha halali na miundombinu vile vile hadi wengine wanafikia hatua ya kuuza vifaru na kuomba kupewa uraia nchini Ukraine.

It's mind boggling affair.
Ongeza kahawa ya jero
 
Back
Top Bottom