Simba watafute coach mpya!Kocha yani kwa hali hii bado anaona hakuna ulazima wa kufanya sub zaidi ya ile ya wawa?
Hivi hakuna uwezekano wa kuomba refa toka tz amalizie dk zilizo baki atupe panatiTumekoswa
Inasikitisha sana na ni captainF#ck! Amekosaje Huyu Nafasi Ya Wazi Kabisa Mchezaji Wa USGN
Sio uzembe sema uwezo mdgDadeki uzembe tena
Pia wawekeze kwenye marefa kimataifaSimba watafute coach mpya!
Hamna sababu ya kutofanya sub hadi sasa
Usitufanyie hivyo yakhee,huyu amefundisha reali madiridiSimba watafute coach mpya!
Hamna sababu ya kutofanya sub hadi sasa
Huenda huwa ana bettHuyu pablo mzito sana kufanya sub
Anajua tambo za kikongo ila uwezo mdg mnoInonga hakuna mchezaji aiseeee
Real madrada hahahahUsitufanyie hivyo yakhee,huyu amefundisha reali madiridi
Acha uchokozi mkuu,huyu si anaitwa Varane?Inonga hakuna mchezaji aiseeee
πππMohammed Hussain Atalala Na Viatu Kwa Jalamba La Victoria Adabayor