US Millennium Challenge Corp (MCC) imefanikiwa kuliko World Bank kwenye misaada!!

US Millennium Challenge Corp (MCC) imefanikiwa kuliko World Bank kwenye misaada!!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Mwaka 2004 USA goverment iligundua kwamba World Bank iko Corrupt sana na nitatoa mfano baadae wakaanzisha ili MCC. Tofauti yake ni kwamba pesa hazipiti mikononi mwa nchi husika na kiongozi wao ni lazima aeleze kinaga ubaga jinsi gani alivyotumia pesa. Tanzania wakati wa Bush alipata $600M na Obama kaongeza $400M hizi pesa zinatumika vizuri sana. Zime saidia kuweka umeme vijijini, Fund neti za mbu, HIV Hospital na kujenga barabara. Contractors wanaofanya kazi kwenye hii program hawazunguswi wala kuombwa rushwa bali wanatakiwa kuonyesha ni kazi gani imefanyika. US hawana mchezo kiongozi wa hii Fund anajua vijiji kuliko hata mawaziri wa Tanzania.

Utaratibu wa World Bank ni wa wala rushwa na wanafikiria kuubadilisha!. Wana toa tender za maendeleo mfano barabara halafu badala ya kulipa Contractors moja kwa moja wanawapa pesa serikali kufanya ukaguzi kabla pesa haijalipwa. Contractors wanaofanya kazi za world bank wakimaliza kazi wanaenda kudai pesa yao kwenye wizara za ujenzi mfano. Tatizo ni kwamba pesa hizo zinachukua hadi miezi sita kutoka na maafisa wanahitaji 10% kwenye pesa hiyo. Tender inafanyika kwa uangalizi wa World Bank lakini pesa unalipwa na maafisa wabinafsi wa Kitanzania wanaotaka rushwa.

World Bank wanafanya hivi kwasababu hao maofisa wa World Bank pia ni mafisadi sana na njia pekee ya kuhakikisha wanafanya ufisadi ni kuweka huu utaratibu. Nilibaahatika kwenye makao makuu ya World Bank pale Washington DC Jan 2007 kwenye mkutano wa wa African Growth and Opportunity Act (AGOA) ambao unatakiwa kusaidia wakulima na wafanya biashara ndogondogo Africa. Nilishangazwa kuona project karibu zote zinafanywa na wahindi pale!! na zile fund wanajaribu kutafuta mbinu za kuzitumia kabla hazijachukuliwa. wamewekana wenyewe tu! mimi nikajitoa maana ilikuwa kama wanataka kudanganya kwamba zile project ni zetu kwa watu pale World Bank ili wasiulizwe je inakuaje hakuna Waafrica kwenye Project ya Africa!!!. World Bank ni wezi na wanajaribu kutoa pesa bila kueleza itatumika vipi wakijua fika kwamba nchi nyingi za Africa ni wala rushwa na wenyewe watapata mwanga wa kuiba hapa.

MCC Fund inaonyesha pesa ya misaada hazitakiwi kwenda kwenye Budget badala yake ziende kwenye miradi moja kwa moja maana pesa nyingi za misaada hazitumiki kama zilivyopangiwa. MCC imefanya vitu vingi kwa pesa ndogo kuliko World Bank kwasababu pesa ya MCC haiendi kwenye rushwa. Ndiyo Tanzania itataka kupangia pesa watumie vipi lakini hii siyo pesa ya Tanzania ni pesa za Wathamini wa nje na wametoa jasho lao kusaidia masikini nakuleta maendeleo kwa Watanzania. Tanzania itaamua kutumia Budget yake ya makusanyo ya kodi wanavyotaka lakini pesa za msaada tumeshaanga kuweka mikakati kuhakikisha pesa zinaenda moja kwa moja kwenye project. Sasa hivi kuna Contractors wengi sana Tanzania hawajalipwa na hizo fund za World Bank kwasababu viongozi wa Tanzania wanataka 10%. Kuna report ya MCC inaandaliwa na ikikamilika US hawatatoa pesa kwa World Bank kwani MCC imefanikiwa zaidi na hawana sababu ya ku report kwa Tanzania.

Agalia huu mchezo wa World Bank hapa halafu uniambie pesa inatumiaka wapi

Tanzania gets 489.9million/- to fight poverty

BY CORRESPONDENT |
12th December 2012

The government has signed a loan agreement worth 489.9m/- with the World Bank to support its efforts of enhancing country's economic growth and poverty reduction.

The loan signed through International Development Association (IDA) has been channelled to the Urban Local Government Strengthening Programme (ULGSP), the Third Additional Financing Agriculture Sector Development Project (ASDP) and the Third Additional Financing for Accelerated Food Security Project (AFSP).

"If the loan is used as intended, it will bring the target areas massive success and reduce the country's dependence on costly imported goods and aid from donors," Finance Minister William Mgimwa said during the signing ceremony with the World Bank represented by Philippe Dongier, its Country Director for Tanzania, Uganda and Burundi.

The Minister said the loan aims at enabling farmers to have better access to, and use of agricultural knowledge, technologies, marketing systems and infrastructure; promoting private agricultural investment based on an improved regulatory and policy environment.

It also aims at contributing to higher food production and productivity in targeted areas by providing agricultural input vouchers to eligible farmers to purchase seeds and fertiliser, carrying out awareness and information campaign programme relating to national agricultural voucher scheme including provision of training to village voucher committees.

Meanwhile the World Bank's country director said the three areas of agreements signed complement other bank's support to Tanzania's long-term vision for socio-economic transformation to achieve a middle income country status while also reducing poverty.

He said the loan will improve institutional performance for urban service delivery.

"Tanzania is urbanising rapidly, the percentage of people living in urban areas has increased from six to 24 percent from 1967 to 2005 and over half of the population is expected to be in urban areas by 2030," explained Dongier.

Dongier also noted that Tanzania is the first beneficiary of the programme in Africa, explaining that if the implementation succeeds it will be easier for other banks and development stakeholders to support other needy countries in the continent.

The 18 town and municipal councils that will benefit from the programme include Tabora, Morogoro, Iringa, Sumbawanga, Songea, Moshi, Lindi, Bukoba, Musoma, Singinda, Babati, Korogwe, Kibaha, Masasi, Njombe, Mpanda, Bariadi and Geita.

SOURCE: THE GUARDIAN
 
[h=2]Rushwa hali mtu kwenye hawa jamaa!! World Bank inatakiwa kuiga mfano.
Tanzania Compact | Millennium Challenge Corporation

Tanzania Compact[/h]
chart

as of March 31, 2012

  • Total Grant Value:
    $698,136,000
  • Total Amount Committed:
    $642,742,384 (92%)
  • Total Amount Expended:
    $366,828,866 (53%)
    Expenditures are the sum of cash outlays and quarterly accruals for work completed but not yet paid or invoiced.
[TABLE="class: table table-striped table-bordered, width: 100%"]
Projected Long Term Results[TR]
[TH="width: 40%"]Project[/TH]
[TH="width: 40%"]Estimated Beneficiaries[/TH]
[TH="width: 20%"]Estimated Benefits[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 40%, bgcolor: #F9F9F9"]Energy Sector Project[/TD]
[TD="width: 40%, bgcolor: #F9F9F9"]1,564,500[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #F9F9F9"]$934,000,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 40%"]Transport Sector Project[/TD]
[TD="width: 40%"]1,624,550[/TD]
[TD="width: 20%"]$427,000,000.00[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 40%, bgcolor: #F9F9F9"]Water Sector Project[/TD]
[TD="width: 40%, bgcolor: #F9F9F9"]2,801,860[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #F9F9F9"]$113,000,000.00[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
The above estimates are based in the best, currently available, information and may be updated if new, reliable, data are available.
The total beneficiary count for the Compact may not be the sum of the different project beneficiary counts because of overlaps between Projects. In other words, some beneficiaries benefit from more than one project but are counted only once in the total beneficiary count.
Total benefits expected from each project are obtained from the ERR analysis MCC conducts during due diligence. Beneficiary counts, although consistent with benefit streams identified in the economic analysis, are not necessarily derived from these models (which are concerned with costs and benefits rather than beneficiaries). MCC estimates and reports expected beneficiaries when sufficiently reliable data exists to support the estimation. If such evidence is lacking, no estimation is attempted, resulting in an underestimation of projected beneficiaries for the Compact. Calculating the amount of benefit per beneficiary would therefore give an overestimation and can be misleading.
[h=4]Projected Results by End of Compact[/h]The Tanzania Compact aims to achieve the results below by the end of the compact in August 2013:

  • Improve 430 kilometers of high-traffic roads on the mainland and up to 35 kilometers of rural roads on Pemba Island, Zanzibar;
  • Increase the transmission capacity of the electricity grid in 7 regions on the mainland (Kigoma, Morogoro, Tanga, Mbeya, Iringa, Dodoma, and Mwanza) and on Unguja Island, Zanzibar, and
  • Increase the water supply by 90 million liters per day in Dar es Salaam and by 15 million liters per day in Morogoro.
[h=4]Results to Date[/h]Information on results to date is available in the Table of Key Performance Indicators (a subset of the full set monitored under the Tanzania Monitoring and Evaluation Plan). The full set of performance indicators is detailed in the Monitoring and Evaluation Plan.
[h=4]Impact Evaluation Framework[/h]In addition to careful monitoring of implementation performance and measurement of preliminary results, MCC will be funding several independent evaluations that will assess what would have happened in the absence of the MCC investments and measure the gains in income that can be attributed specifically to MCC-funded activities. Read about the impact evaluation of the Energy Sector Project. More information also is available in the Monitoring and Evaluation Plan.
 
Sasa wewe unadhani hiyo mikopo ikienda moja kwa moja kwenye miradi kina magufuli watakula wapi? Hukumsikia juzi juzi tu hapo waziri wa fedha anafuka povu kugoma pendekezo la wahisani la kupelekewa miradi ambayo tunataka kuifanya ili waisimamie wao wenyewe? Serikali za afrika zina viongozi wehu ambao wanafikiria kujenga majumba makubwa aafu gari lake linapita barabara kama mtaro.
 
watasoma wachache sana hii thread yako nzuri kwa sababu haigusi masilahi ya chadema moja kwa moja
 
Ukweli ni kwamba USA wana share kubwa kwenye World Bank na kuna report ya MCC inaandikwa sana na kupitiwa itapitiw na Congress ya USA kwa mafanikio yaliyoonyesha MCC wanatoa pesa kwenye World Bank na kuweka kwenye MCC. MCC ilikuwa kama Project ya kutafuta njia tofauti. Wanaogopa lakini serikali ya Tanzania ni lazima wajue haya mabadiliko yanakuja! wezi wa World Bank wanaogopa na ndiyo maana wanaharakisha kutoa pesa haraka kabla hazija katika. Kama hamjui World Bank imeanza kufikiria hivyo na inawauliza Diaspora kama wanaweza kuwa miradi inapitia kwao
 
Nimeshiriki kwenye mradi wa MCC kama mshauri mwelekezi wa masuala ya kijamii. Kwa kweli malipo hayakusumbua na hata wale ambao walibomolewa nyumba zao malipo walilipa tena mazuri sana na kati ya watu zaidi ya 340 ni kama watu 16 tu ndoo wamelalamika kuwa walionewa nao baaada ya kudanganywa na ndugu zao kuwa wanaweza kulipwa zaidi. Tatizo la rushwa linakuwa baya sana ambapo wote wanaokutana mezani wanafaidika kama individuals na the rest mnaumia na hata ukitaka kufuatilia utajikuta kwenye hali ngumu kwani serikali hawataki ufuatilie na worldbank nao hawataki ufuatilie hivyo utakosa ushirikiano na kuamua kuachia ngazi.
Sasa hizi hela za kilimo mbona wanazipaa manispaa badala ya wilaya zinazoeleweka kwa kilimo? ndoo hayo hayo
 
Mh this sounds true...hapa nilipo nipo kwenye mradi unaokuwa funded na world bank...cha kushangaza juzi consultant RE na mainjiania wa manispaa wamewekwa ndani kwa kosa la ubadhilifu,punde tu baada ya maauditor kupita..smell corrupt.
 
Miradi ya MCC kupitia millenium challenge account inaendelea vema, tatizo bado ni consistence ya miradi ili ilete tija, natolea mfano wa mradi wa maji wa ruvu kule bagamoyo ambapo MCC inatekeleza mradi wa kuongeza uzalishaji maji ila hawajaweka mpango wa kuboresha miundo mbinu ya kusafirisha maji kwenda Dar es salaam.

Mwisho tu pamoja na uzuli wa miradi ya MCC, lakini tukumbuke hakuna cha bure.
 
Nakubaliana na wewe mkuu kuwa hakuna cha bure, hata hizi za bank ya dunia ambazo zinarushwa sio za bure pia malipo ya moja kwa moja na indirect cost zote zipo palepale tofauti ni kuwa walau hii ya MCC vitu vinaonekana. Kwa nyongeza tu mradi wa lower Ruvu unaishia kwenye tank kubwa litakalojengwa chuo cha Ardhi. Maswala ya kusambaza maji nadhani ni jukumu la halmashauri husika.

Miradi ya MCC kupitia millenium challenge account inaendelea vema, tatizo bado ni consistence ya miradi ili ilete tija, natolea mfano wa mradi wa maji wa ruvu kule bagamoyo ambapo MCC inatekeleza mradi wa kuongeza uzalishaji maji ila hawajaweka mpango wa kuboresha miundo mbinu ya kusafirisha maji kwenda Dar es salaam.

Mwisho tu pamoja na uzuli wa miradi ya MCC, lakini tukumbuke hakuna cha bure.
 
  • Thanks
Reactions: PhD
Back
Top Bottom