US Monastrs vs Yanga: Yanga mkicheza ule mpira wetu wa polepole, hatutoboi

Monastir wakuda tu wanaachana sana mikeka yangu
 
Kesho mpaka saa Tatu kamili usiku kocha wa TP Mazembe atajikuta kikosi hakiko Sawa kila akijaribu kuona Yanga alivyowasha Moto huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee amka utajikojolea.
 
Wanafungika hukohuko kwao...walikuwa wanacheza na wabovu.......Yanga inabadilika kutokana na mazingira.....km umefatilia mechi za Yanga kimataifa utanielewa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…