US officials concerned as Russia launches Iranian satellite

Kujiandikisha lugha za watu hakukupunguzii shida pambana na hali yako period
Unajua kwa Nini nimetumia lugha ngeni naogopa ban! Ila ujue tu USA ni USA achana nao wao Wana Sera zao za kufanya uchumi wao ukue na wananchi wao wapate maji Safi, umeme na huduma Bora Wala siyo kosa kwao ... Wewe Sasa wa madongo kwinama utakuwa omba omba kwao kila siku...think for your country lady
 
Sasa hiyo lugha ngeni imekusaida nini mwanamama wewe? Kwanza una quote na kuanfika vitu ambavyo havihusiani na nilichokiandika.
Hebu subiri MP iishe upunguze stress
 
Sasa hiyo lugha ngeni imekusaida nini mwanamama wewe? Kwanza una quote na kuanfika vitu ambavyo havihusiani na nilichokiandika.
Hebu subiri MP iishe upunguze stress
Message sent...kumbe umeelewa angalia usikate shanga unapokatikia usiku mwema😃😃
 
... Russia, the "mighty", anatumia Iranian satellites?
Nahisi ulichoelewa ni kinyume chake, sema hii lugha ya malikia huwa inanichanganya sana
 

And what is wrong with that?? Western nations giving Ukrainians forces coordinates to enable them to attack designated Russian targets as far as western crooks are concern that is fine, but Russian taking steps to reverse the trend is taken by USA as a crime, just imagine!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…