Mwili umeshaharibika kwa mibia ya TBL..kupanda ngazi tu unahema:becky:...tunaweza kuarrange kwa warm up ngoja nikirejea dar ntakujulisha muda ukiruhusuKama gamu unalipenda hivyo, kwanini tusipange tuka licheza? Naona wame rinoveti zile koti za pale Chuo cha posta...
Mwili umeshaharibika kwa mibia ya TBL..kupanda ngazi tu unahema:becky:...tunaweza kuarrange kwa warm up ngoja nikirejea dar ntakujulisha muda ukiruhusu
unajua kuna vitambi vingine vinakuja kwa kazi za ofisini tu yaani upo kwa kiti full time chai biscuits...basi ukitoka tena kwenye gari om ..hii inakuwa routine ya week nzima inafika ijumaa jioni unajikuta kwenye stool ndefu..JD..bapa etc vinakandamizwa mpaka j2 ..hakuna Gym wala match exercise..zoezi dogo ni kwenda ****** ukiwa bar!!Hii ndo life style ya wabongo wenye kipato juu kidogo ya KCC.I know... wabongo ngano mnaweka mbele sana...alafu nahiyo minyama choma basi magauti ndio hayoooo. Pole sana mkuu!
Mie kitambi nimekipiga vita...:smile-big:
Mkubwa naamini kwa umri na kiwango cha Rafael Nadal huenda atakuja kuvunja record ya FedererRoger basi tena, umri umefika. But, his record of 16 Grand Slams will be hard to beat.
One thing i will always regret is being in NYC for many many years and yet never set a foot on US open.
I knew several playing partners who used to go free at night, on those very late games. This was mid 90s by the way, before they rebuilt the Arthur Ashe stadium! yaani najuta sana:confused2:
But I was lucky to meet and chat with Yannick Noah at a club in SOHO. That was fantastic! For those who don't know, Noah was the second and the last niga to ever win a grand slam! He is half Cameroonian, half french, I think. Great guy
Mkubwa naamini kwa umri na kiwango cha Rafael Nadal huenda atakuja kuvunja record ya Federer