US Secretary of State Anthony Blinken has landed in Kenya

US Secretary of State Anthony Blinken has landed in Kenya

Anthony Blinken anatarajiwa kuzungumza na rais Kenyatta kuhusu vita vinavyoendelea Ethiopia pamoja na mambo mengine. Malazy huwa mnapuuzwa ni kama hampo duniani. Poleni zenu.
Amekuja kuwawasisitiza viongozi wa Kenya wajitahidi katika uchaguzi ujao ili kuepusha kuzalisha wakimbizi na vifo. Kenya haina uwezo au mchango wowote kwenye kumaliza vita vya Ethiopia.
 
Kujisifu kuwa rafiki wa wamarekani ni dalili moja wapo pia ya kuwa na virusi vinavyosbabisha ukosefu wa akili mwilini (Ukokimwi).

Blinken amekuja kuona taratibu za wakenya kuwekewa raisi kibaraka wa marekani kama zimekamilika au la .

Acheni kulala amkeni wakenya
 
Kuna tatizo hapo nadhani hujaliona....,

Yaani kuwaona wengine superior na wewe inferior kwamba unahitaji their approval ni tatizo ambalo sio lako pekee bali a good number of developing countries..., no wonder we are still being marginalized, and this will continue until the day that we will be emancipated from mental slavery...
 
Akihitaji kuijadili Afrika lazima aje kwa baba mwenye nyumba kwanza.....
Mkuu mbona Agenda iko wazi na wengine tunaiona tu.
USA wanaogopa mvutano wa URUTO Usije kuleta machafuko, ni hayo tu.
 
Kujisifu kuwa rafiki wa wamarekani ni dalili moja wapo pia ya kuwa na virusi vinavyosbabisha ukosefu wa akili mwilini (Ukokimwi).

Blinken amekuja kuona taratibu za wakenya kuwekewa raisi kibaraka wa marekani kama zimekamilika au la .

Acheni kulala amkeni wakenya

Kuna tatizo hapo nadhani hujaliona....,

Yaani kuwaona wengine superior na wewe inferior kwamba unahitaji their approval ni tatizo ambalo sio lako pekee bali a good number of developing countries..., no wonder we are still being marginalized, and this will continue until the day that we will be emancipated from mental slavery...

Mkuu mbona Agenda iko wazi na wengine tunaiona tu.
USA wanaogopa mvutano wa URUTO Usije kuleta machafuko, ni hayo tu.
Waone hawa. Yaani mnarukia tu moja kwa moja kwa comments, kisha mnamwaga povu lote hili? Bila hata kusoma taarifa kwa umakini au hata kuangalia tu tarehe ya habari zenyewe? Ziara ya Anthony Bliken nchini Kenya ilikuwa ya mwaka jana nyie vinyangarika.
 
Mkuu mbona Agenda iko wazi na wengine tunaiona tu.
USA wanaogopa mvutano wa URUTO Usije kuleta machafuko, ni hayo tu.

Kwa hivyo mvutano wetu wa kisiasa unasimamisha dunia mpaka baba lao Marekani inambidi aje mapema kuhakikisha hatuvutani.
 
Kwa hivyo mvutano wetu wa kisiasa unasimamisha dunia mpaka baba lao Marekani inambidi aje mapema kuhakikisha hatuvutani.
Kwa kawaida kwenye siasa zaDunia kila mtu anaangalia maslahi yake, US anaangalia usalama wa uwekezaji wake Kenya wakati wa change of GUARDS, Maslahi yake yanalindwaje? US wana maslahi makubwa sana Kenya, Na usisahau walioko madarakani ni Democrats, washirika wake Obama Mkenya mwenzenu.
 
Kwa kawaida kwenye siasa zaDunia kila mtu anaangalia maslahi yake, US anaangalia usalama wa uwekezaji wake Kenya wakati wa change of GUARDS, Maslahi yake yanalindwaje? US wana maslahi makubwa sana Kenya, Na usisahau walioko madarakani ni Democrats, washirika wake Obama Mkenya mwenzenu.

Safi sana ndio mkome, sisi sio level yenu, dunia imewekeza huku kwa hivyo tukilumbuna mnasimamisha vyote tusuluhishe kwanza.
 
Safi sana ndio mkome, sisi sio level yenu, dunia imewekeza huku kwa hivyo tukilumbuna mnasimamisha vyote tusuluhishe kwanza.
Kwa uwekezaji we mwenyewe unajua Tanzania ni kitu gani, Kama sio hawa corrupt leaders tungekuwa mbali sana,
GAS, COAL, URANIUM, GOLD, DIAMOND to name the few.Bado mbuga anapewa mwarabu achezee wanyama kwa kuwauaua.
Tatizo sisi ni mangungu wa msowelo, shamba la bibi.
 
Waone hawa. Yaani mnarukia tu moja kwa moja kwa comments, kisha mnamwaga povu lote hili? Bila hata kusoma taarifa kwa umakini au hata kuangalia tu tarehe ya habari zenyewe? Ziara ya Anthony Bliken nchini Kenya ilikuwa ya mwaka jana nyie vinyangarika.
So what has changed kuhusu nilichokiongea ?

Yeye anajinasibu kwa kutembelewa kwamba anaonekana yupo Juu, na mimi nikamwambia kutegemea au kuhitaji approval ya mwingine ni inferiority complex (be it mwaka jana, juzi au mwaka kesho)
 
Back
Top Bottom