Wit
, Whitn.. Jamani Whitney Houston ametutoka hivi hivi. Hakika nimeguswa sana na kifo cha mwanamuziki nguli duniani Whitney, kilichotokea kwenye chumba cha Hilton Hotel huko Marekani. Jina la mwanamuziki huyo sio geni miongoni wa wapenzi na washabiki wa muziki. Najua wengi watamsema vibaya kutokana na tabia ya kubwia madawa ya kulevya, lakini kwa sasa sio wakati wake. Nitamkumbuka daima Whitney kwa vibao vyake murua.
R.I.P Whitney
!!!:shock: