Ataendelea kubinuliwa redsea"If you send an arrest warrant to #Netanyahu and his ministers, there will be no cease-fire" - Bloomberg re
Wamkamate kwa kuilinda nchi yake?Mnaosemaga US na EU ndo baba wa haki za binadamu mko wapi?
Mnaoamini demokrasia feki za madola ya magharibi mko wapi?
#BREAKING:
The US threatens the International Criminal Court in The Hague:
"If you send an arrest warrant to #Netanyahu and his ministers, there will be no cease-fire" - Bloomberg reports
The US and its allies are concerned that the International Criminal Court may issue arrest warrants for Israeli officials just as the country is getting closer to a cease-fire agreement with Hamas, potentially jeopardizing a deal, people familiar with the matter said. - the article says.
Sahihi ICC ilitoa warrant ya Omar Al Bashiri akamatwe akitua Africa kusini . Africa ya kusini ikagoma.Hiyo icc inasikiliza kesi ya nchi ambayo ilikataa kutimiza matakwa yake South Africa iligoma kumkamata Albashir na Putin... wenye Makosa halali ndio waje wamkamate Netanyahu anayepambana na Magaidi amabayo sisi tu yalitutokea Kibiti na Mtwara tulijua nini maana ya magaidi... sometimes huwa siielewi hii Dunia..
Wanaounga mkono magaidi ni washenzi
Huna lolote wewe ni ulokole tu unakusumbua.Hiyo icc inasikiliza kesi ya nchi ambayo ilikataa kutimiza matakwa yake South Africa iligoma kumkamata Albashir na Putin... wenye Makosa halali ndio waje wamkamate Netanyahu anayepambana na Magaidi amabayo sisi tu yalitutokea Kibiti na Mtwara tulijua nini maana ya magaidi... sometimes huwa siielewi hii Dunia..
Wanaounga mkono magaidi ni washenzi
USA signed the treaty but not ratifiedIsrael na Marekani sio wanachama wa ICC utatoaje warrant ya kukamata mtu ambaye Nchi yake sio mwanachama wa ICC
Afrika Wahuni tatizo la Sudan kaskazini lisingekuwepo la wao kupigana wao Kwa wao kama Africa kusini ingemkamata Omar Al Bashiri meanzilishi wa kundi la Janjaweed lililoua watu wengi sana Dafur watu weusi Sasa hivi linapigana na jeshi la serikalli ya Sudan na vita imeleta maafa mengi na shida Kwa wasudan
Wanatoa kwa wanachama wao,kwamba wakitimba huko wadakweIsrael na Marekani sio wanachama wa ICC utatoaje warrant ya kukamata mtu ambaye Nchi yake sio mwanachama wa ICC
Afrika Wahuni tatizo la Sudan kaskazini lisingekuwepo la wao kupigana wao Kwa wao kama Africa kusini ingemkamata Omar Al Bashiri meanzilishi wa kundi la Janjaweed lililoua watu wengi sana Dafur watu weusi Sasa hivi linapigana na jeshi la serikalli ya Sudan na vita imeleta maafa mengi na shida Kwa wasudan
Naona unapambana mpaka mate kuruka kumtetea mpwa wa yesuIsrael na Marekani sio wanachama wa ICC utatoaje warrant ya kukamata mtu ambaye Nchi yake sio mwanachama wa ICC
Afrika Wahuni tatizo la Sudan kaskazini lisingekuwepo la wao kupigana wao Kwa wao kama Africa kusini ingemkamata Omar Al Bashiri meanzilishi wa kundi la Janjaweed lililoua watu wengi sana Dafur watu weusi Sasa hivi linapigana na jeshi la serikalli ya Sudan na vita imeleta maafa mengi na shida Kwa wasudan
Nimetetea Hadi Sudan kaskazini ambayo ni waislamu Kwa waislamu wanatwangana kati ya majeshi ya serikali na Waasi wa Janjaweed jeshi binafsi lililoundwa na Omar Al Bashiri kuua waislamu weusi wa Dafur kuwa ICC ilitoa warrant akamatwe na Africa kusini wakijua ana jeshi binafsi la kuua wasudan .Omar Al Bashir alipotembelea Africa kusini . Africa kusini ikagoma kukamata .Ona Sasa kinachoendelea Sudan kaskazini.Wewe kama muislamu unaridhika nacho hao waislamu wenzio wakitwangana na kuuana na kuzalisha wakimbizi Hadi vyuo vyao vikuu vimefungwa wamekimbilia Muhimbili kuja kusoma hao wasudanNaona unapambana mpaka mate kuruka kumtetea mpwa wa yesu
Urusi ni mwanachama wa icc?Israel na Marekani sio wanachama wa ICC utatoaje warrant ya kukamata mtu ambaye Nchi yake sio mwanachama wa ICC
Afrika Wahuni tatizo la Sudan kaskazini lisingekuwepo la wao kupigana wao Kwa wao kama Africa kusini ingemkamata Omar Al Bashiri meanzilishi wa kundi la Janjaweed lililoua watu wengi sana Dafur watu weusi Sasa hivi linapigana na jeshi la serikalli ya Sudan na vita imeleta maafa mengi na shida Kwa wasudan
Huko ukraine ni waislam?Haiti pia ni waislam?Huko rwanda walipochinjana 94 ni waislam?Huna akili kabisaNimetetea Hadi Sudan kaskazini ambayo ni waislamu Kwa waislamu wanatwangana kati ya majeshi ya serikali na Waasi wa Janjaweed jeshi binafsi lililoundwa na Omar Al Bashiri kuua waislamu weusi wa Dafur kuwa ICC ilitoa warrant akamatwe na Africa kusini wakijua ana jeshi binafsi la kuua wasudan .Omar Al Bashir alipotembelea Africa kusini . Africa kusini ikagoma kukamata .Ona Sasa kinachoendelea Sudan kaskazini.Wewe kama muislamu unaridhika nacho hao waislamu wenzio wakitwangana na kuuana na kuzalisha wakimbizi Hadi vyuo vyao vikuu vimefungwa wanekimbilia Muhimbili kuja kusoma hao wasudan
Katiba yetu inasema kila mtu ana haki ya kuabudu apendavyo na hakuna mtu mwenye haki ya kumchagulia mwingine aabudu vipi.Huna lolote wewe ni ulokole tu unakusumbua.
Sawa ila unautumia vibaya huo ulikole wako.Katiba yetu inasema kila mtu ana haki ya kuabudu apendavyo na hakuna mtu mwenye haki ya kumchagulia mwingine aabudu vipi.
Zama za kusilimisha watu kwa mapanga na majambia hatunazo tena.
Mbona hamtaki kuelimika?wapalestina hao kina hamas wanapigania ardhi yao inayonyanganywa.usiwe mjinga kwa kukubali propaganda za uongoBenjamin Bibi Netanyahu hawezi kukamatwa kwa kupiga magaidi, Hamas walivamia wakachinja wayahudi zaidi ya 1000 na kuwateka 230 ambao mpaka leo wanao kwenye mahandaki ya machafu, kosa la Bibi Netanyahu ni lipi kutandika wapuuzi wa Hamas, kutowapa kipondo cha sawasawa Hamas utakuwa mwisho wa Israel na wakipata nafasi watachinja nchi nzima
Ardhi yao kutoka wapi? waliambiwa na Israel wagawane kitu ambacho kingeweza kumaliza hizi vita, wamekataa, wao wanachotaka ni total annihilation of Israel, sasa kama unafikiri wayahudi ni wapumbavu kama nyie endelea kuota ndoto za mchanaMbona hamtaki kuelimika?wapalestina hao kina hamas wanapigania ardhi yao inayonyanganywa.usiwe mjinga kwa kukubali propaganda za uongo