USA Amekimbia Red Sea

USA Amekimbia Red Sea

20240403_094848.jpg
 
Wewe jihadist inaonekana akili ndogo sana yaani hao magaidi ndio wawashinde Marekani.! Unafahamu gharama ya silaha zinazotumika kudungua hayo magobore ya hayo magaidi.

Naona hujui kinachoendelea hapo ndio maana wewe ukitoka tu kugonga kichwa chini unakuja kujiandikia tu humu vitu usivyovielewa.

Unadhihaki na kuchukia kusujudu/kugonga kichwa chini, ibada zilifanyika hivyo toka Ibrahim,Musa,yesu mpaka Muhammad, Joshua 7:6, Genesis 17:3, exodus 34:8,numbers 16:22,Mathew 26:39, QUR'AN 2:133

Sasa wewe ukifika kwa Mungu' jiandae kumueleza ibada ya mayowe na kurukaruka kana kwamba yeye kiziwi umeitoa wapi
 
Tuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.

Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?


View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe

Tuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.

Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?


View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe

Marekani aliwakimbia Taleban chupi mkononi hata huko Yemen kawakimbia Houth kwa staili iyoiyo ya kyupi mkononi
 
Unaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanisha
USA RIVER ya Arusha.
Yaaaani mm huwa sielewi kabsa tofauti na Quran huko madrasa sijui huwa wanafundishwa nn kingine. Anaejua anisaidie yaani Marekani awakimbie Houthi!!!!!?????
 
Unadhihaki na kuchukia kusujudu/kugonga kichwa chini, ibada zilifanyika hivyo toka Ibrahim,Musa,yesu mpaka Muhammad, Joshua 7:6, Genesis 17:3, exodus 34:8,numbers 16:22,Mathew 26:39, QUR'AN 2:133

Sasa wewe ukifika kwa Mungu' jiandae kumueleza ibada ya mayowe na kurukaruka kana kwamba yeye kiziwi umeitoa wapi
Waafrika sio lazima tufuate hayo na sisi tuna namna yetu tunavyopaswa kuabudu na mkataa chake ni mtumwa. Acha fikra za kuhusudu tamaduni za kigeni, ndio ujinga wa waafrika.
 
Unadhihaki na kuchukia kusujudu/kugonga kichwa chini, ibada zilifanyika hivyo toka Ibrahim,Musa,yesu mpaka Muhammad, Joshua 7:6, Genesis 17:3, exodus 34:8,numbers 16:22,Mathew 26:39, QUR'AN 2:133

Sasa wewe ukifika kwa Mungu' jiandae kumueleza ibada ya mayowe na kurukaruka kana kwamba yeye kiziwi umeitoa wapi
Muhamad ni nani?
 
Unaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanisha
USA RIVER ya Arusha.
Eti aikimbie failed state ya Yemen!! Hii mijitu zaidi ya kupenda kula na kuchezea mavi hamna yanachoweza!!
 
Back
Top Bottom