Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 7,681
- 9,892
Unaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanishaTuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.
Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?
View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe
wavaa cobasiTuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.
Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?
View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe
Unadhihaki na kuchukia kusujudu/kugonga kichwa chini, ibada zilifanyika hivyo toka Ibrahim,Musa,yesu mpaka Muhammad, Joshua 7:6, Genesis 17:3, exodus 34:8,numbers 16:22,Mathew 26:39, QUR'AN 2:133Wewe jihadist inaonekana akili ndogo sana yaani hao magaidi ndio wawashinde Marekani.! Unafahamu gharama ya silaha zinazotumika kudungua hayo magobore ya hayo magaidi.
Naona hujui kinachoendelea hapo ndio maana wewe ukitoka tu kugonga kichwa chini unakuja kujiandikia tu humu vitu usivyovielewa.
Unaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanisha
USA RIVER ya Arusha.
We endelea tu kulia United State of America kakimbia Red SeaUnaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanisha
USA RIVER ya Arusha.
Tuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.
Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?
View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe
Marekani aliwakimbia Taleban chupi mkononi hata huko Yemen kawakimbia Houth kwa staili iyoiyo ya kyupi mkononiTuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.
Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?
View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe
Yaaaani mm huwa sielewi kabsa tofauti na Quran huko madrasa sijui huwa wanafundishwa nn kingine. Anaejua anisaidie yaani Marekani awakimbie Houthi!!!!!?????Unaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanisha
USA RIVER ya Arusha.
Sasa na wewe si uitumie bibilia yako vizuri kuisfia marekani au una wivu?Yaaaani mm huwa sielewi kabsa tofauti Quran huko madrasa sijui huwa wanafundishwa nn kingine. Anaejua anisaidie yaani Marekani awakimbie Houthi!!!!!?????
Waafrika sio lazima tufuate hayo na sisi tuna namna yetu tunavyopaswa kuabudu na mkataa chake ni mtumwa. Acha fikra za kuhusudu tamaduni za kigeni, ndio ujinga wa waafrika.Unadhihaki na kuchukia kusujudu/kugonga kichwa chini, ibada zilifanyika hivyo toka Ibrahim,Musa,yesu mpaka Muhammad, Joshua 7:6, Genesis 17:3, exodus 34:8,numbers 16:22,Mathew 26:39, QUR'AN 2:133
Sasa wewe ukifika kwa Mungu' jiandae kumueleza ibada ya mayowe na kurukaruka kana kwamba yeye kiziwi umeitoa wapi
Muhamad ni nani?Unadhihaki na kuchukia kusujudu/kugonga kichwa chini, ibada zilifanyika hivyo toka Ibrahim,Musa,yesu mpaka Muhammad, Joshua 7:6, Genesis 17:3, exodus 34:8,numbers 16:22,Mathew 26:39, QUR'AN 2:133
Sasa wewe ukifika kwa Mungu' jiandae kumueleza ibada ya mayowe na kurukaruka kana kwamba yeye kiziwi umeitoa wapi
Oparwsheni Prosparity Gadiani imeishia wapi?Tuliwambia humu Yemen hakuna Taifa duniani linamuweza mkabisha, mkawa mnacheka wengine wakawa wanawacheka eti ni masikini kuliko hata Tanzania.
Leo hi America kakimbia Red Sea kakiri wazi Yemen ni moto wa kuotea mbali, sa nani atasogea hapo?
View: https://youtu.be/X4gEJdChHvs?si=UDvbpvkGDw8l_IIe
🤣🤣🤣hii ni athari ya utumwa mkuu,wanamuamini mwarabu kisa kawatawala kifikra na kitamaduni.Kwahiyo unataka kusema i Houth ni superpower sio!!!
Eti aikimbie failed state ya Yemen!! Hii mijitu zaidi ya kupenda kula na kuchezea mavi hamna yanachoweza!!Unaposema USA unamaana ya United state of America au unamaanisha
USA RIVER ya Arusha.