The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Hii ndiyo USA. Polisi kwa kutokuwa makini na kwa kukanyaga sheria zinazowaongoza kufanya kazi zao wakaua RAIA MMOJA TU asiye na hatia na asiye silaha kabisa huku wakiwa wameshamkata.
Hali iko hivi. Serikali nzima iko kwenye misukosuko. Inasemekana watu ilibidi waingie kwa nguvu hadi kwenye ofisi yao ya umma (White House) aanamoishi waliyepangisha kwa sasa, Donald Trump.
Kwa usalama wake, duru zinatonya kuwa ilibidi wamwondoe na kumkimbiza mahali pengine salama kwake.....
Najaribu kufikiri hali hii ingekuwa nchi za dunia ya tatu hususani hapa Tanzania ambako viongozi waliochaguliwa na wananchi wenyewe walishajipa hadhi wasiyostahili ya "U-mungu Mtu", mambo yangekuwaje?
Ni wazi, kumlinda mtu mmoja ingebidi waue mamia.
Hii ndiyo maana ya "PEOPLE'S POWER" ama kwa lugha ya kindendeule sema "NGUVU YA UMMA". Hii haijali bunduki wala mabomu ya machozi wala "kanuni za uchaguzi za mwaka 2020"
Likiwaka, limewaka. Lazima kieleweke.
Here is the video. Watch it for yourself.
Hali iko hivi. Serikali nzima iko kwenye misukosuko. Inasemekana watu ilibidi waingie kwa nguvu hadi kwenye ofisi yao ya umma (White House) aanamoishi waliyepangisha kwa sasa, Donald Trump.
Kwa usalama wake, duru zinatonya kuwa ilibidi wamwondoe na kumkimbiza mahali pengine salama kwake.....
Najaribu kufikiri hali hii ingekuwa nchi za dunia ya tatu hususani hapa Tanzania ambako viongozi waliochaguliwa na wananchi wenyewe walishajipa hadhi wasiyostahili ya "U-mungu Mtu", mambo yangekuwaje?
Ni wazi, kumlinda mtu mmoja ingebidi waue mamia.
Hii ndiyo maana ya "PEOPLE'S POWER" ama kwa lugha ya kindendeule sema "NGUVU YA UMMA". Hii haijali bunduki wala mabomu ya machozi wala "kanuni za uchaguzi za mwaka 2020"
Likiwaka, limewaka. Lazima kieleweke.
Here is the video. Watch it for yourself.