britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Hapa ni maeneo karibia na white house, waganda waishio Marekani wameandamana kushinikiza Mseven amuachie huru Bob wine
Kivipi kamandaKichwa cha mada kinapotosha kiaina...
Sio kirahisi hivyo !Kwa shinikizo hili la sasa huyo Dikteta Mu7 kwa sasa hivi yupo njiani kuikimbia nchi yake.......