mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
USA ni dictator na shetani.... inamaanisha nini hiyo picha?
Inaonesha Mataifa ambayo Marekani iliyashambulia toka vita kuu ya pili ya dunia hadi sasa!! China ilikuwa inaikebehi Marekani kuwa ilikuwa inaeneza Demokrasia. Kimsingi China inamtetea Urusi kuwa si chanzo cha kukosekana amaqni duniani bali ni marekani, na ushahidi ni mkeka huo hapo juu.... inamaanisha nini hiyo picha?
Ha ha ha! Itoshe kukupuuza.USA ni dictator na shetani.
... Rudi darasani.Inaonesha Mataifa ambayo Marekani iliyashambulia toka vita kuu ya pili ya dunia hadi sasa!! China ilikuwa inaikebehi Marekani kuwa ilikuwa inaeneza Demokrasia. Kimsingi China inamtetea Urusi kuwa si chanzo cha kukosekana amaqni duniani bali ni marekani, na ushahidi ni mkeka huo hapo juu.
Kati ya nchi hizo zilizoorodheshwa na ubalozi wa China nchini Urusi, ni ipi imesingiziwa kushambuliwa na marekani? Ukipinga unajiaibisha!!... Rudi darasani.