Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
Kwa kawaida adui yako ukiwa wamfyeka vitani ni furaha kwako. Cha kushangaza South Korea na Ukraine wamekuwa wakilalamika kuwa wanaajeshi wa North Korea (adui yao) wanaopigana vita upande wa Urusi dhidi ya Ukraine wamekuwa wakifyekwa kwa makumi elfu!
Wakati propaganda hizo zikiendelea, North Korea wao wanaendelea kumkimbiza mwizi kimyakimya na kugawa dozi stahiki kwenye viwanja vya vita.
Sasa Marekani (bosi wa South Korea na Ukraine) ameamua kusema ukweli na
kuilalamikia UN kuwa uwepo wa majeshi ya North Korea kwenye vita ya Ukraine kunayafanya majeshi ya Kim Jong Un kuwa tishio zaidi kwani wanapata uzoefu wa kupigana vita na kutumia silaha kali za kisasa za mrusi kitu ambacho kitaipelekea North kurea kuongeza zaidi uwezo wake wa kuzitwanga South Korea, Japani na bosi wao Marekani
Source: Reuters
=====
January 9, 20251:20 AM GMT+3
UNITED NATIONS, Jan 8 (Reuters) - The United States warned on Wednesday that North Korea is benefiting from its troops fighting alongside Russia against Ukraine, gaining experience that makes Pyongyang "more capable of waging war against its neighbors."
More than 12,000 North Korean troops are in Russia and last month began fighting against Ukrainian forces in Russia's Kursk region, Deputy U.S. Ambassador to the U.N. Dorothy Camille Shea told the United Nations Security Council.
"In turn, the DPRK will likely be eager to leverage these improvements to promote weapons sales and military training contracts globally," she said, using the acronym for North Korea's formal name - the Democratic People's Republic of Korea.
Wakati propaganda hizo zikiendelea, North Korea wao wanaendelea kumkimbiza mwizi kimyakimya na kugawa dozi stahiki kwenye viwanja vya vita.
Sasa Marekani (bosi wa South Korea na Ukraine) ameamua kusema ukweli na
kuilalamikia UN kuwa uwepo wa majeshi ya North Korea kwenye vita ya Ukraine kunayafanya majeshi ya Kim Jong Un kuwa tishio zaidi kwani wanapata uzoefu wa kupigana vita na kutumia silaha kali za kisasa za mrusi kitu ambacho kitaipelekea North kurea kuongeza zaidi uwezo wake wa kuzitwanga South Korea, Japani na bosi wao Marekani
Source: Reuters
=====
US warns North Korea becoming better prepared for war, fighting against Ukraine
By Michelle NicholsJanuary 9, 20251:20 AM GMT+3
UNITED NATIONS, Jan 8 (Reuters) - The United States warned on Wednesday that North Korea is benefiting from its troops fighting alongside Russia against Ukraine, gaining experience that makes Pyongyang "more capable of waging war against its neighbors."
More than 12,000 North Korean troops are in Russia and last month began fighting against Ukrainian forces in Russia's Kursk region, Deputy U.S. Ambassador to the U.N. Dorothy Camille Shea told the United Nations Security Council.
"In turn, the DPRK will likely be eager to leverage these improvements to promote weapons sales and military training contracts globally," she said, using the acronym for North Korea's formal name - the Democratic People's Republic of Korea.