Sisi tunasema EL ni fisadi wao CCM wanasema hakuna hata mtu mmoja fisadi ndani yao je tujue lipi. alifanya hivyo ili kulinda wakubwa wake wa kaya na mkuu wa kaya pia. maana kwa suala hili katk taifa imara na vyama vya upinzani imara tungeitisha uchaguzi mkuu mapema na kuona serikali yote inatoka au kuangushwa kabisa. Yeye alikuwa kimnya aliamua kilinda kitumbua cha mkuu wa kaya
Mimi naona watu hawa wanatuzuga sana sisi Watanzania na kwa mambo haya basi sisi kama Watanzania tukatae ujinga huu na zuga kama hizi na pia. Walikuja hapa na kusema mengi sana juu ya mambo ya Richomond na leo wote ni wamoja ila WAMELIPOTEZEA TAIFA LETU PESA NYINGI SANA. hii ni dhuruma kubwa sana. Kuna haja ya kukataa mambo haya mimi nasema basi CCM wote ni wachafu makuu wangu
huyu bwana kwa kweli ni mchapakazi sana lakini kwa kutumia kigezo chochote huwezi kumtoa katika kundi la mafisadi waliopo tanzania hivi sasa. Kwa ufupi huyu bwana ni fisadi na hafai kupewa nafasi yeyote ya juu kimaamuzi kwa sababu atakomba kila kitu.alikuwa mchapakazi sana, ila amejawa na tamaa sana, maisha yake yana utata nwingi, hatufai.
Kuna haja ya kupata watu makini na sio kama ilivyo sasa hivi. Wewe ukiona unakula na watu kama hawa na kukaa meza moja nao eti kupunguza mpasuko basi sisi wote ni wagonjwa. Kama mtu fisadi basi kufungwa maana hapa ni hasara kwa taifa na sio kwa CCM kama ilivyokuwa leo katika siasa za Tanzania/ Labda aje Dr.SLaa na aseme yeye juu ya mambo haya. Na sisi wananchi tutaendelea kuhoji mpaka watu wote walihusika na mambo ya ajabu kufugwa na kushatakiwa kama raia wengine vile walihusika na hasara katika Taifa letu.EL na RA na CCM wote ni wamoja hivyo hakuna jipya juu ya mambo hayaHapo umenena mkuu. Nilikuwa na wasiwasi kuwa thread inataka kumtenganisha EL na chama chake na kumpa usafi asio nao. Ukitaka kuwafafanua hawa CCM usichague kazi au kauli zao vipande vipande (cherry picking). Piga uchambuzi wa ujumla (holistic) ndipo ukweli utakapokudhihirikia kuwa vingi wanavyofanya vina mkakati mahsusi wa ulaji.
Usidanganyike na kelele za shule za kata, kilimo kwanza, zinduka, vocha za mbolea, umeme wa dharura, n.k. huku utendaji ukiwa haba. Yote hayo ni kutupiga kiza ili tusione ufisadi ndani yake au kudai maendeleo ya kweli kutokana na mapato ya taifa. Kwa rasilimali tulizonazo, serikali makini TZ ingeweza kufanya mambo bora zaidi katika ujenzi wa shule za maana, mifumo ya umeme wa uhakika, kilimo chenye tija, miundombinu imara ya barabara na reli, n.k.
haya ndio mauza uza ya Tanzania na serikali yake hivyo kuna umuhimu sana wa kujua hatma ya watu hawa. isiwe ni huruma ya mtu binafsi ila ni kwa watunimekwisha choka na uozo wa Tanzania yetu. Huwa nikikaa na kumfikiria Edward Lowasa alivyoingia madarakani na akiwa anahutubia wananchi akisema ndege ya uchumi wa tanzania sasa inapaa??? Huwa mpaka nacheka kwa hasira!!
ukitaka kuwajua raia wataifa fulani mwangalie kiongozi ama viongozi wao wajuu kitaifa..............unajua viongozi wetu wanaghiliba nyingi, ujanja ujanja.haya ndio mauza uza ya Tanzania na serikali yake hivyo kuna umuhimu sana wa kujua hatma ya watu hawa. isiwe ni huruma ya mtu binafsi ila ni kwa watu
hapo umenenajamaa lolHuyu lowassa kimeo, lini tutam ignore na kumtupa kwenye dusty bin!
Hasafishiki, ni mwizi na mpenda madaraka hatari sana huyu
Wananyonga tu mtu akihukumiwa kwa haki. Lowassa kapewa "hearing" wapi na nani???/LOWASA hasafishiki maana kashindwa kututhibitishia kwanini yeye hakuhusika na madudu ya Richmond, huyu ni Fisadi kabisa, hana hadhi mbele ya UMMA , ingekuwa China leo wangekuwa mamemzikia mbali kwa kumnyonga........Baba Enock Lowasa ni kimeo.
Mbona utetezi wake aliompa Sitta kauwekwa kwenye rirpoti ya Richmond?Kama kweli hakuhusika basi ni bora kuuweka hadharani ukweli wa mambo badala ya kuendelea kuubeba msalaba usiomuhusu. Kama kuusema ukweli kungesababisha Serikali ivunjike basi nadhani Watanzania wengi tungeliunga mkono hilo la Serikali ya kisanii kuvunjika ili kuwepo na uchaguzi mwingine. Fumbo mfumbie mjinga......
Have a great day 🙂
aLIPEWA NAFASI YA KWANZA KUCHANGIA mjadala wa Richmond..akasema kuwa anaonewa,....."Wananyonga tu mtu akihukumiwa kwa haki. Lowassa kapewa "hearing" wapi na nani???/
..."nimefadhaika sana, nimedhalilishwa sana, nimeonewa sana
Ukweli unabaki pale pale ila ni nani sasa fisadi ndani ya CCMManeno yako kuntu kwa yule ambae hana uvivu wa kufikiri wala fikra mgando.
Huyu lowassa kimeo, lini tutam ignore na kumtupa kwenye dusty bin!
Hasafishiki, ni mwizi na mpenda madaraka hatari sana huyu jamaa lol