Usafiiri wa kuvuka kigamboni ni mateso

Usafiiri wa kuvuka kigamboni ni mateso

Wapi yule mbunge matata wa Kigamboni aitwaye Dkt. Ndugulile? Au tuwasiliane na Makonda, tumwambie wananchi wake wanateseka?
 
Kigamboni kwasasa ina watu wengi sana sana si ya kivuko kimoja tena kidogo tunapitia hali ngumu sana yaaani ukifika hapa eneo la kuvuka akili inadumaa kabisa uoni kama kweli kuna harakati za kutusaidia kigamboni na huu msaada wa kutuvusha
 
Wafanya biashara changamkia fursa hiyo chongesha mitumbwi tafuta na wasozaji kila kichwa jero.

Ni mimi motivesheni spika kutoka uswekeni
 
Hiki kivuko ni takataka, kama kuna kitu hatukipendi kwa sasa kigamboni ni hiki kivuko.
 
Wananchi Tanzania ni mzigo tena mzigo kweli kweli
Daraja la kigamboni lilijengwa kwa faida ya nani kiasi cha kukaa tu barabarani na mabango yanaohoji uhalali wa kulipia daraja ni upi wanashindwa?
Hakuna mtu anayeweza kujibu majibu yanayoelekea kwamba ni kwanini watu wanalipia kuvuka daraja hatupo ni upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom