Usafiri jijini Mwanza

skumbuzo

Member
Joined
Jun 6, 2016
Posts
8
Reaction score
2
Kwa yeyote Aliye mwanza au anatembelea Jiji la mwanza napenda kumkaribisha endapo atahitaji usafiri wa kumzungusha kwa shughuli zake.basi awasiliane nami kwa namba 0742265564.atapata usafiri wa gari ndogo kwa bei Nafuu,kwa wakati wote.karibuni sana
 
mkuu hiyo ni self-drive ama?halafu nyie watu wa mwanza tugari twenu tuchafu sana yaani mtu unapanda taxi utadhani upo chooni harufu mbaya sana
 
mkuu hiyo ni self-drive ama?halafu nyie watu wa mwanza tugari twenu tuchafu sana yaani mtu unapanda taxi utadhani upo chooni harufu mbaya sana
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] usafi kwa Msukuma siyo muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…