usafiri kwa watoto wa shule ya diamond,olympio na bunge

nickson1987

Senior Member
Joined
Aug 16, 2011
Posts
191
Reaction score
24
Nipigie simu kuwahi nafasi ya mwanao sio usafiri WA kubanana simu namba 0714064767
 
Wewe ni kampuni gani maana kuna makampuni pale kama flank tumeyachoka kwa kukodi magari mabovu na kusababisha watoto wetu wafike majumbani usiku.

nipigie simu kuwahi nafasi ya mwanao sio usafiri wa kubanana simu namba 0714064767
 
Hasa Olympio ndio balaa,wanajazana mapka pa kupita hakuna,kiti kinajaa mpaka wengine wanaka juu ya kichwa cha kiti
 
Usafiri unaotumika ni gari aina ya noah, bei ya kawaida Ni 50,000/= bali inategemea na umbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…