Usafiri mwingine ni balaa tupu!!!!

Nina wasiwasi na zipu ya jamaa, huenda haijafungwa!
 
Hapo labda jamaa ndio ana raha!!

mmmhhhhh u think??
lakini kondoo amechukua space kubwa na anaonekana yuko very comfortable ...
na jamaa mmmmmmhhhhhhh..(ana raha kweli????)
 
acheni kumuwazia jamaa ubaya.
naona kondoo ndio yuko komfotabo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…