Usafiri wa Mwendokasi Mbagala kuanza kazi mwezi Machi 2025

Usafiri wa Mwendokasi Mbagala kuanza kazi mwezi Machi 2025

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
"Tayari kuna mabasi [Mwendokasi] yameagizwa, inawezekana kati ya mwezi wa pili mpaka mwezi wa tatu yataanza kufika. Kwa njia hii ya Kimara - Mjini, sekta binafsi wataleta mabasi takriban 177 yanakuja kutoa huduma kwenye eneo hilo. Lakini pia sekta binafsi wameagiza mabasi ya kutoka Mjini- Mbagala takriban mabasi 755 ambayo yatakuja kutoa huduma kwenye eneo hilo na mwezi wa tatu mambo yatakuwa sawa." - Gerson Msigwa, Msemaji Mkuu wa Serikali
20250103_193606.jpg
 
Hahaha yaani mpaka unaone ndo ujue imekuwa maana nakumbuka kwa ahadi zao disemba mwaka jana ndo walitakiwa wawe wameanza na walianza kuonesha hata picha za hayo magari huko yaliko nunuliwa.

Ngoja tusubiri
 
Back
Top Bottom