KERO Usafiri wa Mwendokasi umekuwa kituko na aibu kwa nchi dhidi ya wageni!

KERO Usafiri wa Mwendokasi umekuwa kituko na aibu kwa nchi dhidi ya wageni!

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Kwa jinsi hii DART ilivyokuwa inapigiwa promo enzi mradi unaanza, na hali halisi ya sasa ya uendeshaji wake, ni dunia mbili tofauti.

Kuna kipindi mradi ulivyokuwa unafunguliwa na Hayati Magufuli huu mradi ulitumika kama benchmark kwa nchi kadhaa za Afrika ambazo walidai watakuja lujifunza kwetu.

Lakini kwa hali ilivyo sasa, mradi umegeuka kuwa kituko kwa wageni. Mgeni akija Dar akafanikiwa kuutumia huu usafiri wa Mwendokasi, nadhani ndicho kituko ambacho ataondoka nacho kwenda kusimulia akirudi huko atokako.
 
Kwa jinsi hii DART ilivyokuwa inapigiwa promo enzi mradi unaanza, na hali halisi ya sasa ya uendeshaji wake, ni dunia mbili tofauti.

Kuna kipindi mradi ulivyokuwa unafunguliwa na Hayati Magufuli huu mradi ulitumika kama benchmark kwa nchi kadhaa za Afrika ambazo walidai watakuja lujifunza kwetu.

Lakini kwa hali ilivyo sasa, mradi umegeuka kuwa kituko kwa wageni. Mgeni akija Dar akafanikiwa kuutumia huu usafiri wa Mwendokasi, nadhani ndicho kituko ambacho ataondoka nacho kwenda kusimulia akirudi huko atokako.
Ni aibu sana!
 
Hiko kituko na aibu kwa wageni mara nyingi huwa ni sehemu ya utalii pia.
 
Kwa jinsi hii DART ilivyokuwa inapigiwa promo enzi mradi unaanza, na hali halisi ya sasa ya uendeshaji wake, ni dunia mbili tofauti.

Kuna kipindi mradi ulivyokuwa unafunguliwa na Hayati Magufuli huu mradi ulitumika kama benchmark kwa nchi kadhaa za Afrika ambazo walidai watakuja lujifunza kwetu.

Lakini kwa hali ilivyo sasa, mradi umegeuka kuwa kituko kwa wageni. Mgeni akija Dar akafanikiwa kuutumia huu usafiri wa Mwendokasi, nadhani ndicho kituko ambacho ataondoka nacho kwenda kusimulia akirudi huko atokako.
Washakuja wageni wengi na kushsngaa hali ya huu mradi, sembuse tu Jirani yetu Zambia gari za daladala kwao hakuna kusimamisha mtu, mpaka condactor anaseat yake, Zambia mmoja alijaribu kupanda mwendokasi, alishuka kituo kilichofata akachukua bajaj na ikawa mwisho wake kupanda mwendo kasi. Ni aibu kwakqeli
Kwa jinsi hii DART ilivyokuwa inapigiwa promo enzi mradi unaanza, na hali halisi ya sasa ya uendeshaji wake, ni dunia mbili tofauti.

Kuna kipindi mradi ulivyokuwa unafunguliwa na Hayati Magufuli huu mradi ulitumika kama benchmark kwa nchi kadhaa za Afrika ambazo walidai watakuja lujifunza kwetu.

Lakini kwa hali ilivyo sasa, mradi umegeuka kuwa kituko kwa wageni. Mgeni akija Dar akafanikiwa kuutumia huu usafiri wa Mwendokasi, nadhani ndicho kituko ambacho ataondoka nacho kwenda kusimulia akirudi huko atokako.
 
Usipande mwendokasi mida ya "peak hour" kuanzia saa 1-3 asubuhi na kuanzia jioni saa 10 hadi 2 usiku utajuta! Nje ya hapo full kipupwe
Kwa hiyo unashauri watu waende makazini mchana? Na jioni wasirudi kuepuka huo usumbufu?. Usichokijua mchana unaweza subiri gari lisaa usipate usafiri. Huu usafiri ni wa kiwaki.
 
Back
Top Bottom