Wana jf,
Katika siku.za hivi karibuni usafiri wa anga kwa kutumia kampuni ya precion air umekuwa kama kituko kutokana na kubadilisha ratiba za usafiri mara kwa mara .Sio siri ni afadhali kusafiri kwa basi kwenda mikoa ya kaskazini kuliko kutumia precion air
Nilipanda moja toka Mtwara yaani viti vyote ni matambara mabovu mpaka raia wa kigeni wakatikisa vichwa. Mende pia walikuwamo
Lazma kuna air hostess ambae ni bwana mifugo . Hamkunyunyiziwa dawa ya josho mkiingia?
panda flght 402 uone vituko....viti vinang'oka kama vya daladala iliyochoka....
Nilipanda moja toka Mtwara yaani viti vyote ni matambara mabovu mpaka raia wa kigeni wakatikisa vichwa. Mende pia walikuwamo
Mkuu hii ndio ipi? PW 402 (ATR 42) ndiyo niliyopanda toka Mtwara....AU ulimaanisha Flight 540 (KAMPUNI)?
Issue si ndege mpya bali ni kutokuwa na ratiba ya uhakika mkuuNDEGE ZA PW ZINA HALI NZURI, na nyingi ni mpya!
Tuacheni uwongo!
Kuna mtu anaongelea flight 402...hii ni kutaka kuwafool watu. Hakuna route iliyo na ndege specific kwa maana kwamba ni ndege hiyohiyo inayoenda route hiyo, zinabadilikabadilika. Leo ni 5hpwc, kesho pwd, siku ingine pwe etc..
Mi ningewaona wa maana kama mngeongelea Hisa za PW!
Hivi hili shirika kwani watu wake wa kitengo cha huduma kwa wateja huwa hawasikilizi maoni ya wateja wao??? Au ndio ule uswahili wetu wa kulewa masifa ?? (maana walianza kujijengea jina kwa huduma nzuri+ kufa kwa ATCL wakawa wenyewe tuu)
Nilmaanisha flight no 402 ya precision mkuu....kimeo kweli kweli...
niliona jamaa mmoja kashika cushion la siti mkononi analumbana na flight attendant...
asee hii kali hadi mende!
Ndiyo hiyo hiyo yenye mende