DOKEZO Usafiri wa Tegeta - Kivukoni ni changamoto, Latra na Sumatra waingilie kati

DOKEZO Usafiri wa Tegeta - Kivukoni ni changamoto, Latra na Sumatra waingilie kati

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

julaibibi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
3,081
Reaction score
4,224
Nafikisha hili muwaokoe wanachi wa Tegeta Kivukoni. Hali ni mbaya. Sheria kama sikosei gari ikishakuwa level seat ianze safari. Abiria wengine nao wa njiani wanapata nafasi.

Kinachofanyika hapa nawapa tip hawa wanajaza watu kama matenga ya nyanya, wanajaza wanataka mpaka watu wadondoke milangoni. Latra njooni Kivukoni hapa kuna hela. Hizi faini zingeingiza mapato sana Serikalini kwa ajili ya miradi ya afya na elimu.

Waokoen abiria
 
Nafikisha hili muwaokoe wanachi wa Tegeta Kivukoni. Hali ni mbaya. Sheria kama sikosei gari ikishakuwa level seat ianze safari. Abiria wengine nao wa njiani wanapata nafasi.

Kinachofanyika hapa nawapa tip hawa wanajaza watu kama matenga ya nyanya, wanajaza wanataka mpaka watu wadondoke milangoni. Latra njooni Kivukoni hapa kuna hela. Hizi faini zingeingiza mapato sana Serikalini kwa ajili ya miradi ya afya na elimu.

Waokoen abiria
Hayo Magari tuyaonee tu huruma aiseeee, wakati wa mchana wanakaa sana bila kupata abiria yaani ikifika tu saa tano asubuhi hakuna biashara hadi saa kumi kutoka mjini kuja tegeta.

Asubuhi na jioni ndio muda wao wa kupata pesa vinginevyo watalaa njaa.
 
Siyo tu kujaza abilia, bali wakazi wa hiyo njia wananyanyasika kwa mambo kadhaa, ukiachilia mbali hilo kuna nauli, yaani abilia anayetoka tegeta namanga kwenda makumbusho analipa nauli kubwa kuliko anayekwenda kivukoni, hadi leo sijaelewa ulinganifu wa nauli umewekwa vipi.
 
Nafikisha hili muwaokoe wanachi wa Tegeta Kivukoni. Hali ni mbaya. Sheria kama sikosei gari ikishakuwa level seat ianze safari. Abiria wengine nao wa njiani wanapata nafasi.

Kinachofanyika hapa nawapa tip hawa wanajaza watu kama matenga ya nyanya, wanajaza wanataka mpaka watu wadondoke milangoni. Latra njooni Kivukoni hapa kuna hela. Hizi faini zingeingiza mapato sana Serikalini kwa ajili ya miradi ya afya na elimu.

Waokoen abiria
Abiria ni watoto wadogo au watu wazima?

Kwanini lawama tutupie wenye daladala na sio watu wazima ambao wanakubali kubanana na kuhatarisha afya zao?

Nashauri abiria waanze kutozwa faini wakikutwa wamesimama, vinginevyo ni kuwabebesha mzigo madereva na makondakta Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom