FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Shida ilikuwa ni hujuma iliyokuwa ikifanywa na wamiliki wa malori, ila kimsingi ukitumia reli inachukua siku 3 tu badala ya 10, na gharama yake ni 40% cheaper. Hayo malori wayapeleke ruti zingine, ruti ya Dar - Uganda tunaomba wawaachie TRC, hatutaki hujuma safari hii!Hongereni
Ila msibweteke mkizingua tutawasema tu
As long as hawafanyi hivyo kwa lengo la kupata hasara temporarily ili kuidhoofisha basi sawa, ila otherwise FCC wahusishweWenye malori watashusha bei ya kusafirisha mizingo
Aiseeee "" hapa jiwe anahitaji kupewa pongezi ..ijapokuwa simpendiShida ilikuwa ni hujuma iliyokuwa ikifanywa na wamiliki wa malori, ila kimsingi ukitumia reli inachukua siku 3 tu badala ya 10, na gharama yake ni 40% cheaper. Hayo malori wayapeleke ruti zingine, ruti ya Dar - Uganda tunaomba wawaachie TRC, hatutaki hujuma safari hii!
Apongezwe tu kwa kweli..Aiseeee "" hapa jiwe anahitaji kupewa pongezi ..ijapokuwa simpendi
Huyo dada kwenye sekunde ya 0.03 nimemwelewaNi takriban miaka 10 sasa huduma hii ilikuwa imesimama, ila kwa sasa imerejea kwa kasi, maelezo yote yapo kwenye video yao ya TRC reli TV