Unapita barabara gani? kama n hii ya Mbeya, hakikisha huwek lumbesa au gunia halizid kilo 100, mikumi pale mizan kuna wazee wa vipimo, n mtihan...
Hakunaga swala la vibali,
Ushuru inategemea mazao yanatoka wapi, kama yanatoka shamban, watu wa ushuru utakutana nao huko huko, wana mageti yao, maeneo mengine serikal za vijiji zinakusanya zenyewe