Usagaji: Watanzania tumefikia hapa?

nitaanza kukisugua
 
Pole sana aisee... Na jirani yangu demu ana kama miaka 26, ni rafiki yangu mkubwa sana ila nikimtongoza tunakuwa maadui, hataki kabisa kutongozwa

Kuna video zake na picha alinionyesha anavyo sangana duh!!! Hatari sana
 
Tulitaka mwanamke akombolewe kifrika, kielemu, kimaendeleo..Tunalalamika nini?! Wanaume wenyewe kama ni RRONDO hawataki kusikia ndoa! Wengine sijuwi wanataka kuzaa nawo tu, wengine wa Dar/ZnZ wamegeuka kama kinamama!
Mwanamke anawakati mgumu sana kupata mapenzi aisee...
 
Mkuu nitake radhi. Kunihusisha na huu ushetani sio sahihi. Kama wanawake wote wasioolewa wangekuwa kama hawa basi dunia ingejaa lesbos coz asilimia kubwa ya wanawake ni wasioolewa.
 
Pole sana aisee... Na jirani yangu demu ana kama miaka 26, ni rafiki yangu mkubwa sana ila nikimtongoza tunakuwa maadui, hataki kabisa kutongozwa

Kuna video zake na picha alinionyesha anavyo sangana duh!!! Hatari sana
Mzee embu tudadavuliee ,kupitia hiyo video
 
Sijui kwanin, ila mi mara 100 nione wanawake wanaoana kuliko wanaume. Hao wakipata mkunaji mzuri na psychologist wanarudi kawaida ila once a real man gone gay is gone forever
Ni kweli hao wakipata Ukuni wa kueleweka mbona wanarudi kwenye njia, Ila men sasa dah ni rest of his life ana remain apo
 
Ni kweli hao wakipata Ukuni wa kueleweka mbona wanarudi kwenye njia, Ila men sasa dah ni rest of his life ana remain apo
tatizo ni kwamba yule mwanamke anayetongoza wanawake wenzake ili akawasage yeye hataki hata kusikia kuhusu mwanaume kimsingi anajihisi kama mwanaume na anafurahia kuwachezea wanawake wenzie. yule anayetongozwa kimsingi anakubali mchezo huo baada ya kushawishiwa kwa pesa au zawadi mbalimbali, huyu anaweza kuwa na mwanaume anayetembea nae na wakati huohuo pia anatembea na yule msagaji. hatari ni pale wanapokutana wasagaji wote ambao wanajichukulia kama wanaume kwao kuwa na mwanaume ni sumu hapo ndio hatari zaidi. kama kwenye hiyo video kitu ambacho ni kigumu kutokea ni huyo demu aliyemvesha pete huyo mrembo kuja kuwa na mwanaume akafurahi ila huyo aliyevishwa pete yawezekana yapo kumbukumbu za kusagwa zaweza muathiri kisaikolojia kwa kiasi fulani
 
Ni kweli hao wakipata Ukuni wa kueleweka mbona wanarudi kwenye njia, Ila men sasa dah ni rest of his life ana remain apo
Tatizo tunashindwa kuelewa au mnashindwa kuwaelewa hawa Lesb....

Mkuu tatizo kwao siyo kuwa na mashine kubwa tatizo lipo kwenye kumpa raha anayo pewa na mwanamke mwenzake,

Ukitaka kuamini kuwa huwezi kumbadilisha Lesb kwa kumpiga mashine za maana, mtafute Lesb tukupambanishe nae na mwanamke mwingine halafu usubiri majibu...

Mkeo pamoja na kuwa unampa mijeledi ya maana lakini siku akikutana na Lesb ndiyo utajua kuwa na mashine kubwa yenye ufanisi siyo kigezo cha kumfanya mwanamke afikie ile raha wanayo peana wao kwa wao.....
 

Bwana asifiwe sana
 
Kila nikitazama hii video hapa chini inanitoa machozi, nawaza ipi ni future ya watoto na dada zetu kesho kama imefikia stage in Tanzania. Mdada anavalishwa pete na msagaji tena kwa wazi kama hivi pia nasikia huyu dada ndo zake.
Huyo Demu kaanza siku nyingi sana huo mchezo....Na ilikuwa inajulikana kwa kuwa yeye mwenyewe alikuwa anatangaza. Pia ni muhomgaji mkubwa, pesa ndio inatumika kuwashawishi hao mabinti.
 
Kitu nilichojifunza na naendelea kujifunza ni kwamba vitu vyote ambavyo haviruhusiwi aidha kwa imani, au mfumo wa maisha tuliojiwekea wanadamu katika uhalisia wa kibinadam huwa mara nyingi ukienda kinyume navyo huwa ni kama addiction kwahiyo kuacha inahitaji Nguvu ya ki Mungu maana hii ni Nguvu ambayo ni Super Natural Power ina uwezo wa kututenganisha na maovu yote!!

Mfano; ushoga, usagaji, e.t.c ni kama mtu hali kitimoto, Nyoka, na kwake ni haramu siku akiila tu ndo for good!!
 
Not fair at all kum mention hapa.

Yeye ni mtu mzima, anajifanyia maamuzi kama wewe unavyofanya yako.
 
Forbidden fruit is the sweetest.

Ngumu kumeza but its true. Ukishavuka hiyo line kurudi nyuma ni vigumu without divine interference.
 
Acha bwana. Nimependa ulivyokuwa mkweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…