USAHIHI: Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali amepangiwa Majukumu mengine na siyo kutumbuliwa. Anaweza kuwa na Majukumu makubwa kuliko ya Awali

Mbona nguvu kubwa mno. Kwani hawezi kua na majukumu madogo kuli y mwanzo.





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mkopo wa korea unawagaragaza watu!
Naamini Ni mabadiliko ya kawaida kabisa katika kuboresha utendaji kazi na kuchochea ufanisi na kuleta matokeo chanya zaidi. Kwa sababu mkopo wetu haikuwa wa siri kwamba siri zimevuja ,bali ni mkopo wa wazi kabisa ambao ulitangazwa hadharani na kutolewa ufafanuzi mzuri kabisa ambao wananchi walielewa vyema sana faida na uzuri wake ,hasa udogo wa tiba yake ya 0.01% na kulipwa kwa muda wa miaka 40
 
Mbona nguvu kubwa mno. Kwani hawezi kua na majukumu madogo kuli y mwanzo.





KAZI ni kipimo cha UTU
Ukiwa mtumishi wa umma unaweza kupangiwa majukumu na Mheshimiwa Rais mahali popote pale ndani na nje ya Taifa letu.
 
WEWE ni NANI mpaka utoe ufafanuzi wa teuzi za raisi kisokolo kwinyo
 

Hili nalo mtaliangalia wenyewe halinihusu.
Rubani washa ndege tuondoke zetu .
 
WEWE ni NANI mpaka utoe ufafanuzi wa teuzi za raisi kisokolo kwinyo
Mimi ni Mwashambwa ambaye nimefanya kutumia akili kidogo tu kwa kile kilichotolewa na Ikulu kama taarifa,ambapo hata wewe tu ungeweza kutoa bila kujali nafasi yako. Ni katika kuwekana sawa tu. Kama hujaelewa uliza swali.
 
Kiukweli msemaji pia alikuwa amepwaya tangu kuondolewa wale waliopita huyu hata serikali inaposhambuliwa yeye hatoi ufafanuzi yupo tu aliibuka ghafla kutolea ufafanuzi pale ilipoibuka uzushi wa kadhia ya bwawa la nyerere kufunguliwa maji tena kwa kusukumwa unaona kabisa hakujiandaa!
 
Kuna mambo mengine siyo lazima yanatolewa ufafanuzi ja msemaji mkuu wa serikali.bali mambo mengine yanatolewa ufafanuzi na wizara husika.
 

..wanakaa benchi huku akiendelea kupokea mshahara wa msemaji Mkuu wa serikali.
 
Hivi wewe Mama Kafulila una cheo gani kingine?
 
PUNGUZA UJUAJI MKUU USIJIFANYE KILA KITU UNAJUA
 
Mimi ni Mwashambwa ambaye nimefanya kutumia akili kidogo tu kwa kile kilichotolewa na Ikulu kama taarifa,ambapo hata wewe tu ungeweza kutoa bila kujali nafasi yako. Ni katika kuwekana sawa tu. Kama hujaelewa uliza swali.
NANI alikuomba utoe ufafanuzi wakati wahusika kwenye JAMBO Hilo wapo huoni kama ni mwenderezo wa ujuha wako?
 
NANI alikuomba utoe ufafanuzi wakati wahusika kwenye JAMBO Hilo wapo huoni kama ni mwenderezo wa ujuha wako?
Acha uvivu wa kutumia kili yako.kwani taarifa iliyotolewa na Ikulu hujaiona? Kwamba hata kitu cha kutumia akili ndogo tu na ambacho kinaeleweka kwa mwenye kutumia akili unataka mpaka upewe ufafanuzi tena? Kweli wewe bado sana kukomaa kiakili
 
Acha uvivu wa kutumia kili yako.kwani taarifa iliyotolewa na Ikulu hujaiona? Kwamba hata kitu cha kutumia akili ndogo tu na ambacho kinaeleweka kwa mwenye kutumia akili unataka mpaka upewe ufafanuzi tena? Kweli wewe bado sana kukomaa kiakili
Ninachosema ACHA au punguza kihele hele chako wewe ni chawa wa watu huku unako lazimisha siko mtumikie bashite tu kama mumeo au tumbili huko ndio saizi Yako fala wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…