katika lugha ya Kiingereza, kuna neno lnaandikwa na kutamkwa 'FOOD SECURITY'. katika baadhi ya magazetii, kwa kiswahili neno hili linatafsiriwa kama USALAMA wa CHAKULA
Je, ni kweli tuna maanisha USALAMA WA CHAKULA au UHAKIKA WA CHAKULA?
katika lugha ya Kiingereza, kuna neno lnaandikwa na kutamkwa 'FOOD SECURITY'. katika baadhi ya magazetii, kwa kiswahili neno hili linatafsiriwa kama USALAMA wa CHAKULA
Je, ni kweli tuna maanisha USALAMA WA CHAKULA au UHAKIKA WA CHAKULA?
Yote mawaili sawa.
Mkuu
kama maada ilitaka kusema juu ya kuhifadhi chakula kiswahili chake ni USALAMA wa chakula. Kama maada hiyo ilikuwa inaongelewa uwepo wa chakula basi tafasiri yake ni hiyo ya UHAKIKA wa Chakula!!
Je maada ilijikita kwenye nini?
sp