Usahihi wa Maamuzi unategemea Usahihi wa Taarifa, na kinyume chake

Usahihi wa Maamuzi unategemea Usahihi wa Taarifa, na kinyume chake

Smartkahn

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2020
Posts
594
Reaction score
1,061
Parable 02|15-16/24|

Katika mazingira yakudadisi au kulichambua jambo fulani( ni kama tulikua tuna fuatilia kanuni/taratibu/sheria/sera flani flani) . Sehemu ile tulikua watu zaidi ya wawili, tulilichambua lile swala uchambuzi ukaonyesha tuko sahihi na hasa mkuu Wa idara alioneshwa kuamini zaida ule uchambuzi na yeye ndio akatuhakikishia kua ni sawa kabisa.

Lakini baadae nyakati za mwisho kabisa ikaonyesha kua tulikua tumekosea na haikua kama tulivyoamini, maana mkuu wetu alivyotusisitizia tukakubaliana nae.

Katika ile hali

tuliamini kwa mpango/ sheria/ kanuni zile tulizozichambua basi tuko imara kumbe sio! , na mwishoni kabisa tukawa dhaifu tumebakia kuhamaki!

Baada ya kulitambua hilo tulidhoofu na kuonekana kama watu tuliovunjika moyo, mkuu wetu alionekana kukosa kabisa kauli.

Kwakweri tulishangazwa ilikua ni suplaizi.
 
Hii parable ni ya juzi, sikuielewa kabisa nikaamua kuachana nayo.

Lakini katika kusikia sikia hotuba ya leo Nimeona kama inaendana flani hivi! Sina uhakika, ila anyway Wito wangu kwa vyombo vinavyohusika, ni je? Mna uhakika na chanzo cha taarifa na taarifa yenyewe kama Hapana basi inabidi double check ifanyike, na kama ni ndio basi kutakua na loose end katika maamuzi yatakayochukuliwa.
 
Hapa tamko la ubalozi wa Marekani walijichanganya... Walikubaliana kutoka tamko ambalo kwa upande wao walipima na kutasmini kwa viwango vyao akajiona wako sahihi kumbe sio na mwisho wa siku wakatolewa nishai na Mh Rais.
Parable 02|15-16/24|

Katika mazingira yakudadisi au kulichambua jambo fulani( ni kama tulikua tuna fuatilia kanuni/taratibu/sheria/sera flani flani) . Sehemu ile tulikua watu zaidi ya wawili, tulilichambua lile swala uchambuzi ukaonyesha tuko sahihi na hasa mkuu Wa idara alioneshwa kuamini zaida ule uchambuzi na yeye ndio akatuhakikishia kua ni sawa kabisa.

Lakini baadae nyakati za mwisho kabisa ikaonyesha kua tulikua tumekosea na haikua kama tulivyoamini, maana mkuu wetu alivyotusisitizia tukakubaliana nae.

Katika ile hali

tuliamini kwa mpango/ sheria/ kanuni zile tulizozichambua basi tuko imara kumbe sio! , na mwishoni kabisa tukawa dhaifu tumebakia kuhamaki!

Baada ya kulitambua hilo tulidhoofu na kuonekana kama watu tuliovunjika moyo, mkuu wetu alionekana kukosa kabisa kauli.

Kwakweri tulishangazwa ilikua ni suplaizi.
 
Back
Top Bottom