USAID iliasisiwa 1961 wakati Tanganyika inapata Uhuru wake Lengo likiwa kuongeza Marafiki wa Marekani, inapokufa inatukumbusha Tanganyika Huru!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tunakumbushana historia tu kwa sababu Waziri Hamza wa SMZ alisema Watanganyika ni Wavivu wa kujisomea historia

Umri wa USAID Ndio Umri wa Tanganyika Sasa Tanzania

Ahsanteni sana πŸ˜„
 
Swali langu ni je hii USAID iliundwa kwa ajili ya Tz pekee au kuna nchi nyingine hatuwasikii kulia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…