Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa maswali uliyoulizwa hujawahi kusoma au?kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono.
kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
Kumetokea nini?Mbona unalia tu huku unasugua visigino na kujiapiza miungu?kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono.
kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
Au bado anaugulia maumivu!Mwalimu ana ubinafsi mwingi moyoni mwake hawezi eleźea kitu apa
kilichotikea leo ni moja ya usaili katili sana kuwahi kushuhudia nimefanya interview shule nyingi za private lakini kwa huu nmenyoosha mikono.
kwa walimu ambao bado hamjasailiwa mjipange kule sio kuzuri kabsa .
Hivi yule mwalimu shoga alikua anaitwa ____________ village (nimesahau jina la mwanzo) kwao Dodoma ni mgogo aliendaga wapi?Ila JF tuna walimu wengi [emoji119]
Mwalimu Mtulivu34 ukimaliza kunyoosha mikono tuhadithie kidogo basi kilichokukuta
Wengi wakitoka kwa interview hawasemagi kuna nini huko wana kale karoho kabaya hawaezi waaambia wenzao hataAu bado anaugulia maumivu!
Tumpe muda
Mpwayungu Village ni mwalimu pia?Hivi yule mwalimu shoga alikua anaitwa ____________ village (nimesahau jina la mwanzo) kwao Dodoma ni mgogo aliendaga wapi?
Ingekuwa vema kama angesema tu! Angepata ushauriWengi wakitoka kwa interview hawasemagi kuna nini huko wana kale karoho kabaya hawaezi waaambia wenzao hata