Ngaliba Dume JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 1,710 Reaction score 3,681 Nov 14, 2012 #1 Kama miezi miwili au mitatu Kilimanjaro International Airport walitoa nafasi za kazi katika nafasi tofauti tofauti...mwisho wa kutuma maombi ilikuwa September(?)..mpaka leo hawajaita?au mwenye kujua kinachoendelea atujuze!
Kama miezi miwili au mitatu Kilimanjaro International Airport walitoa nafasi za kazi katika nafasi tofauti tofauti...mwisho wa kutuma maombi ilikuwa September(?)..mpaka leo hawajaita?au mwenye kujua kinachoendelea atujuze!
O Ombeni Mbise Member Joined Nov 2, 2012 Posts 40 Reaction score 9 Nov 14, 2012 #2 Mkuu mie mmojawapo niliomba sijapata hata taarifa zozote kuhusu interview japo nasikia wana mizengwe sana pale
Mkuu mie mmojawapo niliomba sijapata hata taarifa zozote kuhusu interview japo nasikia wana mizengwe sana pale
Ngaliba Dume JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 1,710 Reaction score 3,681 Nov 15, 2012 Thread starter #3 Mizengwe ipi tena?vp ulijaribu nafasi gani? Ombeni Mbise said: Mkuu mie mmojawapo niliomba sijapata hata taarifa zozote kuhusu interview japo nasikia wana mizengwe sana pale Click to expand...
Mizengwe ipi tena?vp ulijaribu nafasi gani? Ombeni Mbise said: Mkuu mie mmojawapo niliomba sijapata hata taarifa zozote kuhusu interview japo nasikia wana mizengwe sana pale Click to expand...