Mkurya mweupe
JF-Expert Member
- Aug 10, 2023
- 239
- 817
Nimeshangaa kuona jamaa yangu mmoja leo ambae huwa ni dereva bodaboda karibia mwaka wa tisa sasa akisema ametoka kufanya interview ya ualimu, Kwanza nimeshangaa maana sikuwahi kujua kama ni mhitimu wa degree ya ualimu mwaka 2015 kutokana na kumuona yupo serious na kazi hiyo
Kinachonishangaza ni kwa jinsi gani mtu aliyepiga kazi ya uboda kwa miaka 9 ataenda kushindana na mhitimu wa ualimu wa mwaka 2024 au ataweza vipi kushindana na mhitimu wa ualimu ambaye kwa sasa anafundisha private school ?
Imebidi niwaze Jakaya Kikwete alitumia njia gani kuweza kuwa anawaajiri wahitimu wote kwa kigezo Cha mwaka, kabla mwendazake hajaharibu huo mfumo kwa kisingizio anatumbua watumishi hewa
Kinachonishangaza ni kwa jinsi gani mtu aliyepiga kazi ya uboda kwa miaka 9 ataenda kushindana na mhitimu wa ualimu wa mwaka 2024 au ataweza vipi kushindana na mhitimu wa ualimu ambaye kwa sasa anafundisha private school ?
Imebidi niwaze Jakaya Kikwete alitumia njia gani kuweza kuwa anawaajiri wahitimu wote kwa kigezo Cha mwaka, kabla mwendazake hajaharibu huo mfumo kwa kisingizio anatumbua watumishi hewa