Usaili wa ajira za utumishi wa umma ni bora uendelee kufanyika Dodoma. Mambo ya kikanda sijui kufanyika taasisi husika haijakaa sawa

Kwa hiyo eneo la kufanyia usaili ndo linaufanya usaili kuwa fair, wee jamaa utakuwa umeliwa kichwa kwenye usaili ndo maana unakuja na hoja isiyo na mashiko kama hii. Wewe kama upo competent mbona utafaulu tu usaili popote pale utakapofanyika. Maana nimeona hata kwa usaili uliofanyika vyuoni kuna watu wengine kutoka nje ya vyuo husika nao walishiriki kwenye zoezi la usaili kama panelists hivyo hoja yako ya upendeleo inakosa mashiko.
 
Bahati mbaya sikuliwa kichwa.Nilienda hadi Oral Saili hizo hizo za Vyuoni.Unaongea vitu usivyofihamu kaka
 
Bahati mbaya sikuliwa kichwa.Nilienda hadi Oral Saili hizo hizo za Vyuoni.Unaongea vitu usivyofihamu kaka
 
Kijna wangu mazaga one naekuelewa
Sana,, kama hutojali nidropishie namba yako PM.
Binafsi nakubaliana na wewe PSRS ndo mkombozi wa sisi wanyonge,

But huu Uzi naona kama ungependa ukakaa jukwaa la Ajira
 
All is rubbish! Huwezi kusaili watu zaidi 200 a day, written,ukasahihisha then kama una akili ukasema usaili unafanyika kwa haki!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,,, Wanasema Duniani hamna haki, haki ipo akhera,,,
 
We mazaga one nipo info za Usaili wa Leo hapo Dom maana mwenyewe sijaja nimekosa nauli sinauza Kambare wangu.. niko zangu Huku Rufiji natafuna Kambare.
 
Bahati mbaya sikuliwa kichwa.Nilienda hadi Oral Saili hizo hizo za Vyuoni.Unaongea vitu usivyofihamu kaka
Kwa hiyo ulipendelewa? maana unasema wanaofaulu ni wale waliopewa upendeleo...
 
Kumbe mnaokaa dodoma ndo mnaopinga. Mnavuta kamba upande wenu
 
Mimi sio Mgogo,nasema kwa ajili ya Vijana wenzangu....
Mkuu hata Mm ni mmoja wa job seekers tunao teseka na usahili pindi unapo fanyikia hapo dodoma kwakweli ni changamoto kwetu kuanzia nauli, malazi mpaka maandalizi yenyewe ukiwa dodoma, kumwambia mtu eti akalale udom kwamba ndio unafuu wa huko bado haupo sahihi kwakweli, serikali imetusaidia sana kuandaa huu mfumo wa kikanda kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…