Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,897
- 10,213
Msimu ndio umeisha na tumeshuhudia Barcelona,Manchester United,Porto,Inter,Bordeaux wamefanikiwa kuchukua ubingwa kwenye ligi zao na Barcelona wakafanikiwa kubeba Champions League.
Tayari baadhi ya timu zimeanza kujiandaa kwa msimu ujao tayari kuna timu zimenza kufanya mabadiliko ya makocha,hadi sasa timu zilizobalisha makocha ni
BAYERN MUNICH-LUIS VAN GAAL
AJAX-MARTIN JOL
CHELSEA-CARLO ANCELOTI
JUVENTUS -CIRO FERARAhuyu alikuwa wa muda
AC MILAN-LEONARDO
Bado kuna makocha hawana kibarua kama Marco Van Basten,Jurgen Klinsman,Sven Goran Erikson,Roberto Manchini
Tayari baadhi ya timu zimeanza kujiandaa kwa msimu ujao tayari kuna timu zimenza kufanya mabadiliko ya makocha,hadi sasa timu zilizobalisha makocha ni
BAYERN MUNICH-LUIS VAN GAAL
AJAX-MARTIN JOL
CHELSEA-CARLO ANCELOTI
JUVENTUS -CIRO FERARAhuyu alikuwa wa muda
AC MILAN-LEONARDO
Bado kuna makocha hawana kibarua kama Marco Van Basten,Jurgen Klinsman,Sven Goran Erikson,Roberto Manchini