Mercy Theino
New Member
- Oct 18, 2012
- 3
- 0
naombeni mnisaidie jinsi ya kupata password ya ku log in kwenye system ya CAS.Nimejiregister tayari nimekwama jinsi ya kuendelea coz kila ninapo sign in naambiwa nakosea password na wakati najisajili sikuona pa kucreate password.Kama kuna anayejua jinsi ya ku log in anisaidie.