Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kila kadi ina bei yake kulingana na matakwa yakoNAOMBA KUJUA KAMA KUNA GHARAMA YA KUJIUNGA NA MAELEZO MENGINE..
unalipia Tsh 2500/= tu ada ya mwakaKDI YA GHARAMA NAFUU KABISA NI IPI..?
Ubarikiwe sanaNahitaji watu 100, niwalipie ile Kadi ya Diamond
Kujiunga bure ila kuwa mwanachama ni gharama kuanzia 2,500 hadi 200,000NAOMBA KUJUA KAMA KUNA GHARAMA YA KUJIUNGA NA MAELEZO MENGINE..
Mkuu ungetuwekea hapo juu page ya kwanza, aina ya kadi na gharama zake itasaidia na wengine kujua na kuhamasikaKila kadi ina bei yake kulingana na matakwa yako
nipe muda kidogo tu nakuwekeaMkuu ungetuwekea hapo juu page ya kwanza, aina ya kadi na gharama zake itasaidia na wengine kujua na kuhamasika
Umeuliza swali la kiboya sanaIkitokea nikachukiwa na sera za chama, ama sababu yeyote itayopelekea nikahama chama, je nitarudishiwa gharama zangu?
Ninaweza kukurudishia hata kama bado hujahamaIkitokea nikachukiwa na sera za chama, ama sababu yeyote itayopelekea nikahama chama, je nitarudishiwa gharama zangu?
PowerPepoooossssssssssssss.?