samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Kule kachuja kinoma jamaa wakaona wamwachie muulizeni ana magoli mangapi huko
kwani makambo alivyoenda morroco na bdae mkamsajili utopoloni alitokea wapiBabu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Wakati Simba Inamuuza Chama Nyie Utopolo Mililamika Simba Inauza Chama Imeenda Kununua Banda Sasa Leo Chama Karudi Bado Mnalalamika Embu Kuweni Na Msimamo Bhana Na Mseme Mnataka NiniBabu alieshindwa soka morocco chama clatous amerudi simba na atapewa jezi namba 17 hii ni aibu kwa soka la tanzania kurudisha wachezaji walioisha kiwango kama chama daaah simba ina vitu vya kuiga kwa yangaaaView attachment 2080712
Halfu wewe jamaa, ujue wenzio wana mwiko labda uuchomoe ndio uchomeke 9.Wakitaka kujikuna matako nipo kwa ajili yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watanzania mbona washamba sana? Huyu huyu Chama aliyeenda tu kwenye hako katimu kadogo ka huko Morocco akashindwa kucheza ndio hapa eti auzishe magazeti. It's fantastic 😍Ukitaka kujua ukubwa wa chama waulize waandishi wa habari na wauza magazeti, kila anae andika habari za chama alipata interaction ya kubwa sana.
Kwa hiyo umeloaWatanzania mbona washamba sana? Huyu huyu Chama aliyeenda tu kwenye hako katimu kadogo ka huko Morocco akashindwa kucheza ndio hapa eti auzishe magazeti. It's fantastic [emoji7]
Cc MakamboHuyu kafeli huko alikoenda karudi kula pensheni
Hao wameshaona Simba imeshakuwa ngumu hivyo roho inawauma hatariWakati Simba Inamuuza Chama Nyie Utopolo Mililamika Simba Inauza Chama Imeenda Kununua Banda Sasa Leo Chama Karudi Bado Mnalalamika Embu Kuweni Na Msimamo Bhana Na Mseme Mnataka Nini
UkimaindNatumaTena
Wanaacha kujifunza kwa mashabiki wa simba namna walivyoshinikiza chama kurudi,wao wamedanganywa issue ya Morison, wanapewa ahadi za uongo toka msimu uliopita kwamba watachukua ubingwa lakini hola!mwaka huu waliambiwa watachukua kila kikombe na watafika hatua ya makundi caf champion league lakini ndio kama mlivyosikia.Mashabiki wa utopolo wanakuwaga na utaahira. Raha yao ni kudanganywa tu
Namba hazidanganyi mzee kama huamini magazeti angalia uthibitisho mwingine wa Twitter,wakuambie leo na jana namna chama anavyotrend TanzaniaWatanzania mbona washamba sana? Huyu huyu Chama aliyeenda tu kwenye hako katimu kadogo ka huko Morocco akashindwa kucheza ndio hapa eti auzishe magazeti. It's fantastic [emoji7]
Huyo ndio hivyo tena keshaisha, atabaki kucheza mitandaoni tu. Amefeli hata kuchezea timu ndogo tu ambayo haina impact yoyote ktk soka la Afrika.Namba hazidanganyi mzee kama huamini magazeti angalia uthibitisho mwingine wa Twitter,wakuambie leo na jana namna chama anavyotrend Tanzania View attachment 2082598
Kwa hiyo injinia aliyesema hakuna timu Tanzania ambayo haimuhitaji chama ni mwongo sio, chama atawatesa sana labda akifika miaka 35 ndio ataanza kushuka,kiufupi swala la ubingwa wa ndani hatuna wasiwasi nalo tena labda kimataifa.Huyo ndio hivyo tena keshaisha, atabaki kucheza mitandaoni tu. Amefeli hata kuchezea timu ndogo tu ambayo haina impact yoyote ktk soka la Afrika.
FailureKwa hiyo injinia aliyesema hakuna timu Tanzania ambayo haimuhitaji chama ni mwongo sio, chama atawatesa sana labda akifika miaka 35 ndio ataanza kushuka,kiufupi swala la ubingwa wa ndani hatuna wasiwasi nalo tena labda kimataifa.
Hii chumvi imezidi hata sisi tunafuatilia mpira mzee,chama mwanzoni alikuwa anaumwa lakini mpaka anaondoka alianza kupata namba na alicheza dk 90Chukua rekodi za Makambo akicheza mechi ngapi na alifanya nn huko huyo Chama hata Namba kakosa mwenzake kisinda anapeta.
UTOPOLO bhana mnapenda pambio.Benchi limemkimbiza huko Morroco, tuna safari ndefu sana, mchezaji aliyekosa namba Morroco huku Tanzania ndio tegemeo. Maajabu kwakweli.