Yanga hamuwezi kumzuia mchezaji,kwanza hamna hela labda msome arubadiri ndo anaweza rudiHabari ya Niyonzima kuachana na Yanga imeniumiza sana bora hata angesaini timu nyingine tofauti na mtani wetu. Hii ni sawa na kumuuacha mwanamke aolewe na rafiki yako huku ukimpenda but sio mbaya tutampata kiungo mwingine pengine akawa zaidi yake. Maisha mema Niyonzima huko uendako
Baada ya kumshindwa, leo Simba wamepigwa, kweli akili za wabongo ni za kimakinikia.Simba wamepigwa.....Niyo anaelekea ukingoni.....
Yanga itaendelea bila Niyo....tunashukuru mchango wake.
sizitak mbichi hiziSimba wamepigwa.....Niyo anaelekea ukingoni.....
Yanga itaendelea bila Niyo....tunashukuru mchango wake.