yule mghana alikuwa anasifiwa mdogo wake assamoah gyan kaishia wapi simba kumejaa wapigaji kama usajili wangesajili kocha mpya kila mechi anajihami hata na vitimu vidogo
Inashangaza simba kutamba imefanya mabadiliko na mambo yatakwenda kisasa.Leo tunaskia kuna MTU anaitwa sekuwaha mwenye miaka 33 ndio striker anaesajiliwa.kweli karne hii unafanya usajili wa gharama kwa mchezaji wa umri huu?kwa malengo gani au kwa nia gani?