Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Habari za leo Watanzania?
Nilifungiwa mita ya umeme LUKU mpya takribani mwezi mmoja sasa.
Umeme uliwekwa units chache sana na tangu tarehe 05 Aprili 2024 nawasiliana na TANESCO makao makuu kuhusu suala hili na mara zote husema idara husika inalifanyia kazi suala langu.
Naomba kuuliza kwenu ni jambo la kawaida kukaa mwezi mzima bila mita ya umeme kusajiliwa na kuwezesha kununua token kupitia mitandao ya simu?
Binafsi nimechoka kukaa giza maana umeme haununuliki kwa kuwa mita yangu haijasajiliwa.
Watu wa TANESCO wamekuwa ni watu wa ajabu na maneno mengi yasiyo na maana yeyote.
Nilifungiwa mita ya umeme LUKU mpya takribani mwezi mmoja sasa.
Umeme uliwekwa units chache sana na tangu tarehe 05 Aprili 2024 nawasiliana na TANESCO makao makuu kuhusu suala hili na mara zote husema idara husika inalifanyia kazi suala langu.
Naomba kuuliza kwenu ni jambo la kawaida kukaa mwezi mzima bila mita ya umeme kusajiliwa na kuwezesha kununua token kupitia mitandao ya simu?
Binafsi nimechoka kukaa giza maana umeme haununuliki kwa kuwa mita yangu haijasajiliwa.
Watu wa TANESCO wamekuwa ni watu wa ajabu na maneno mengi yasiyo na maana yeyote.